Una maana gani?Ndiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
Ulitakiwa uishie hapa tu. Hayo maelezo mengine hapo chini, hayakuwa na umihimu/ulazima wowote ule.Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Yaani hata sijui nilichoandika, wale wote waliorudi kwa kishindo wakati huo huo walikataliwa na mfumo then mfumo huo huo ukaja kuwarudisha, wanasema rudi rudi unaweza rudia mengine. Mi naangalia tu upepo, yaani wale waliorudi kwa dhihaka sijui inakuwajeUna maana gani?
NimekuelewaYaani hata sijui nilichoandika, wale wote waliorudi kwa kishindo wakati huo huo walikataliwa na mfumo then mfumo huo huo ukaja kuwarudisha, wanasema rudi rudi unaweza rudia mengine. Mi naangalia tu upepo, yaani wale waliorudi kwa dhihaka sijui inakuwaje
Sawaingia YouTube ukisearch "Lawrence Mafuru" zipo kibao.
Ujuaji wa Mafulu ulikuwa ni upiAlijifanya mjuaji kumbe hamjui vizuri Mwamba JPM a.k.a Mzilankende...akapita na miguu yote miwili...
Heshimuni Mamlaka otherwise mtaumia...
sio mafua?Rest in peace bro.
AminInna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
huyu katangulia.Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Umemuwasha, hauachi?= umemkariri
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Huyu mbona inajulikana tokea akiwa NBC.sio mafua?
Hata sijakuelewa kijana. Matokeo ya nini tena?Bibi kwa codes kiboko, kwa hiyo haya ni matokeo