Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 4,517
- 13,831
- Thread starter
- #101
Makampuni makubwa yanauza baada ya miaka kadhaa, sasa hizo yutong zako miaka mitatu hazina kazi tena.
Abood na Shabiby walikuwa na Scania na Volvo. Kwa nini hawa matajiri wamehamia Uchinani Yutong?