Land Cruiser VXR V8 yasalimu amri kwa BYD Leopard 5

Xi Jinping

JF-Expert Member
Jun 14, 2023
4,516
13,826
Huyu Mchina BYD Leopard 5 ana balaa lake alikuwa akishindanishwa na Toyota Land Cruiser VXR V8. Mjapan kanyoosha mikono juu.

Chuma inakuja na:-
  • Engine: 2.0L turbocharged, 4 P-E (hybrid-assisted)
  • P/Output: 680hp (199 kW) na 48V mild hybrid system
  • Torque: App. 406 Nm
  • Transmission: 8 speed automatic
  • D/Train: 4WD ikiwa na Multiple OR drive modes.

0 KM Price: USD 40,000/TSHS 107,000,000

Na hapo haujagusa toleo jipya la BYD Leopard 8 lenye 978HP na huku toleo jipya la Land Cruiser LC300 ina 415 HP

Kwa sasa Mchina ana dunia yake kwenye automobile industry.
 
Huyu Mchina BYD Leopard 5 ana balaa lake alikuwa akishindanishwa na Toyota Land Cruiser VXR V8. Mjapan kanyoosha mikono juu.

Chuma inakuja na:-
  • Engine: 2.0L turbocharged, 4 P-E (hybrid-assisted)
  • P/Output: 680hp (199 kW) na 48V mild hybrid system
  • Torque: App. 406 Nm
  • Transmission: 8 speed automatic
  • D/Train: 4WD ikiwa na Multiple OR drive modes.

0 KM Price: USD 40,000/TSHS 107,000,000

Na hapo haujagusa toleo jipya la BYD Leopard 8 lenye 978HP na huku toleo jipya la Land Cruiser LC300 ina 415 HP

Kwa sasa Mchina ana dunia yake kwenye automobile industry.
Ushuru wake sasa!
 
Huyu Mchina BYD Leopard 5 ana balaa lake alikuwa akishindanishwa na Toyota Land Cruiser VXR V8. Mjapan kanyoosha mikono juu.

Chuma inakuja na:-
  • Engine: 2.0L turbocharged, 4 P-E (hybrid-assisted)
  • P/Output: 680hp (199 kW) na 48V mild hybrid system
  • Torque: App. 406 Nm
  • Transmission: 8 speed automatic
  • D/Train: 4WD ikiwa na Multiple OR drive modes.

0 KM Price: USD 40,000/TSHS 107,000,000

Na hapo haujagusa toleo jipya la BYD Leopard 8 lenye 978HP na huku toleo jipya la Land Cruiser LC300 ina 415 HP

Kwa sasa Mchina ana dunia yake kwenye automobile industry.
Huyu Mchina BYD Leopard 5 ana balaa lake alikuwa akishindanishwa na Toyota Land Cruiser VXR V8. Mjapan kanyoosha mikono juu.

Chuma inakuja na:-
  • Engine: 2.0L turbocharged, 4 P-E (hybrid-assisted)
  • P/Output: 680hp (199 kW) na 48V mild hybrid system
  • Torque: App. 406 Nm
  • Transmission: 8 speed automatic
  • D/Train: 4WD ikiwa na Multiple OR drive modes.

0 KM Price: USD 40,000/TSHS 107,000,000

Na hapo haujagusa toleo jipya la BYD Leopard 8 lenye 978HP na huku toleo jipya la Land Cruiser LC300 ina 415 HP

Kwa sasa Mchina ana dunia yake kwenye automobile industry.
Vipi hiyo mikono aliyonyoosha mjapani Iko wapi
 
Huyu Mchina BYD Leopard 5 ana balaa lake alikuwa akishindanishwa na Toyota Land Cruiser VXR V8. Mjapan kanyoosha mikono juu.

Chuma inakuja na:-
  • Engine: 2.0L turbocharged, 4 P-E (hybrid-assisted)
  • P/Output: 680hp (199 kW) na 48V mild hybrid system
  • Torque: App. 406 Nm
  • Transmission: 8 speed automatic
  • D/Train: 4WD ikiwa na Multiple OR drive modes.

0 KM Price: USD 40,000/TSHS 107,000,000

Na hapo haujagusa toleo jipya la BYD Leopard 8 lenye 978HP na huku toleo jipya la Land Cruiser LC300 ina 415 HP

Kwa sasa Mchina ana dunia yake kwenye automobile industry.
Hivi hizi EV/hybrid bongo zipo? Kuna vituo vya kuchajia magari?
 
Nilichoipendea BYD ni fuel consumption, inanusa yaan

Kwa misele ya mjini, Iko makini sana
Umesema vyema

BYD ni very economy sana kwenye fuel consumption

Ukizingatia pia BYD ni Plug In Hybrid Electric Vehicle (PHEV) inafaa sana hata kwa long range driving

Kuna ile chuma yao aina ya sedan waliizindua mwaka jana 2.9L/100km, na ni Plug-in Hybrid inaweza kwenda 2000km non-stop ikiwa full charge na full tank
 
Hivi hizi EV/hybrid bongo zipo? Kuna vituo vya kuchajia magari?
Wenzetu wakiona kitu kipya basi wana changamkia fursa

Ulaya tayari kuna mafundi wa magari ya umeme na pia kuna makampuni ukiishiwa chaji kama hakuna sehemu ya kuchaji unawaita wanakuja fasta

Sisi bado sana
Screenshot_20250420_124729_Google~2.png
 
Zikifikia nyingi na kuwa kawaida basi ni fursa nzuri sana kuichangamkia
Mchina ameanza kuingia soko la Africa hapo South Africa kakichafua hatari

Mpaka wazungu BMW, Audi, Volvo, VW, Mercedes Benz, Ford wameanza kuona mauzo yakishuka kwa kasi. Volvo wamefunga dealerships

Wasouth wanapaa na Mchina ni mwendo wa Haval, Chery, GWM, BAIC

Mchina hapa Africa tulishamzoea kwenye trucks na coaches tu sasa hivi kashapiga hodi Africa na sedan (saloon) na SUV
 
Nafikiri tuta transition kwenda huko japo naona kama tunaenda slow sana
Kusema la haki sio kuwa nabeza lakini ukiangalia youtube kwa upande wetu
Utaona treni ya umeme ambayo sijui ikoje mpaka sasa

Na vichekesho vya kijinga wakiwemo kina kina Nanga mpaka wakichokonoa pua na kutoa tongo wakiwa live na kina mweusi basi

Angalia wenzetu hata UG na Kenya kuna mengi sana vijana wanafanya kama mifugo, kilimo na hata makampuni

Fursa kwa wabongo hawazioni bali kulalamika tu
Ukiongelea fursa wanakuambia mtaji baba
Ila bado sana kwa maendeleo bongo
Tuko nyuma mno kwa ukiritimba na kubaniana fursa pia kunachangia
 
Back
Top Bottom