Kweli Waafrika wameshindwa kutambua Ukristo na Uislam siyo kwaajili yao?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
933
1,014
Jabarini,

Hivi kweli hata wasomi wa Kiafrika wenye Phd wamegoma kabisaaaa kutambua kuwa Ukristo na Uislam siyo kwaajili yao bali ni kwaajili ya warabu na wazungu/wakoloni.

Yaani wameelezwa kuwa Waafrika wametokana na manyani na wakati huohuo wameelezwa kuwa wametokana na udongo pia wametokana na Adam na Hawa wanajichanganya wao wenyewe na Waafrika wanaaminishwabtu na bado wamewaeleza kuwa mtu wa kwanza amegundulikavoldvai gorge.

Waafrika hata wasomi wabobezi wamekana kabisa tamaduni zao kama vile majina,mavazi,lugha,nyimbo,sherehe,nk kwa kuwafuata warabu na wazungu,kweli??

Huu siyo ujinga bali ni DHAMBI ya kutojitambua kama kweli kuna moto baada ya kifo basi Waafrika wote ambao ni waislam,wakristo,budha,hindu,nk watachomwa moto wote kwa hili.
 
Theory ya kusema binadamu katokana na nyani sio kwa ajili ya mtu mweusi tu (Ni mtazamo wa kiumbe anaitwa Charles Darwin ambayo inaongelea mabadiliko katika maisha, kiini akiwa binadamu).Weusi wanajikuta wakibeba huu mzigo kwa sababu hizi:Ngozi ya mtu mweusi,mweusi kuchijukulia inferior,baadhi ya wazungu kutaka kumfanya mtu mweusi aonekane si kitu.(unaweza kuongeza sababu zipo nyingi)

Mengi unayoleta hapa ni mitazamo ya watu pamoja na imani za watu ambazo zina mapungufu yake na ubora wake kulingana na wanaotumia mitazamo hiyo au wanaoamini katika imani hizo.

Dunia haiwezi kukaa kufanya vitu wewe jinsi unataka au kila mtu atumie mtazamo wako katika kupata ufahamu wa kitu.Ndio maana hii mitazamo ya watu au imani zao hazina maana kwako lakini kwao wanaona sawa na maisha yanaendelea
 
Theory ya kusema binadamu katokana na nyani sio kwa ajili ya mtu mweusi tu (Ni mtazamo wa kiumbe anaitwa Charles Darwin ambayo inaongelea mabadiliko katika maisha, kiini akiwa binadamu).Weusi wanajikuta wakibeba huu mzigo kwa sababu hizi:Ngozi ya mtu mweusi,mweusi kuchijukulia inferior,baadhi ya wazungu kutaka kumfanya mtu mweusi aonekane si kitu.(unaweza kuongeza sababu zipo nyingi)

Mengi unayoleta hapa ni mitazamo ya watu pamoja na imani za watu ambazo zina mapungufu yake na ubora wake kulingana na wanaotumia mitazamo hiyo au wanaoamini katika imani hizo.

Dunia haiwezi kukaa kufanya vitu wewe jinsi unataka au kila mtu atumie mtazamo wako katika kupata ufahamu wa kitu.Ndio maana hii mitazamo ya watu au imani zao hazina maana kwako lakini kwao wanaona sawa na maisha yanaendelea
Kitu chochote kilichoasisiwa na mwarabu au mzungu kwa Mwafrika kusaidia kuganikiwa ukoloni au utumwa wa Mwafrika siyo kwaajili ya Mwafrika,hata hiyo filosofi ya darwin ni kwa manufaa yao wazungu dhidi ya Waafrika.

Hadi leo Waafrika bado wanasoma na kuamini kuwa bin-adam katokana na mabadiliko ya nyani/sokwe ingawa sokwe na nyani bado wapo.

Mwaafrika siyo bin-adam bali ni bin-Afrika kwani huyo adam alikuwa ni mzungu siyo Mwafrika na kamwe hawezi kuzaa Mwafrika.

Kama na wewe bado unaamini katika mapokeo ya uislam,ukristo,nk na maandiko ya kina darwin basi utakuwa BOYA ,fanya kujiongeza aisee upate ukweli
 
Kitu chochote kilichoasisiwa na mwarabu au mzungu kwa Mwafrika kusaidia kuganikiwa ukoloni au utumwa wa Mwafrika siyo kwaajili ya Mwafrika,hata hiyo filosofi ya darwin ni kwa manufaa yao wazungu dhidi ya Waafrika.

Hadi leo Waafrika bado wanasoma na kuamini kuwa bin-adam katokana na mabadiliko ya nyani/sokwe ingawa sokwe na nyani bado wapo.

Mwaafrika siyo bin-adam bali ni bin-Afrika kwani huyo adam alikuwa ni mzungu siyo Mwafrika na kamwe hawezi kuzaa Mwafrika.

Kama na wewe bado unaamini katika mapokeo ya uislam,ukristo,nk na maandiko ya kina darwin basi utakuwa BOYA ,fanya kujiongeza aisee upate ukweli
Hii theory ya Darwin inafundishwa hadi kwa wazungu man weka mambo yako sawa kwanza au uliza utaelezwa.

Hii theory ina criticism kama zilivyo theory nyingine kwahiyo usiwe mvivu wa kutafuta mambo au kuwa na negativity pale jambo linapotoka kwa mzungu kuja Africa(hii ndio nlikwambia inferiority ya mtu mweusi siku zote)

Hakuna mwafrika anayepokea hii theory nakusema kwamba Darwin alikuwa sahihi(sijui wewe umesoma mpaka darasa la ngapi kwanza?).Theory ina critics kibao tena kutoka kwa scholars weusi afu wewe upo unatetea upumbavu wa ukoo wenu hapa.

Dini ileletwa kufacilitate colonialism in Africa?(when and how? Upambavu mwingine).Christianity imekuepo kabla ya Roman empire ambapo hadi ukoloni kwenu ilikuwa bado.Islam the same.Ethiopia ,part of Africa wamepractise modern religion kabla ya huo ukoloni bado unakaza fuvu tu hujui kujenga hoja zako.Tambua kwamba,to some extent missionaries paved a way to colonialism in Africa but they should never take full responsibility but your crazy grand parents should be blamed
 
Back
Top Bottom