Alichanganya na JIKaje aje wadau,
daah mapenz bana kweli ni ubunifu lakin sio kwa ubunifu huu ulionitokea mm, sitaki kubwabwaja sana kama lara..
ipo ivi kuna mtoto wa kike nimekuanae kama miez kadhaa ivi, mtoto mwenywe wa kitanga na kama mnavojua story za tanga na mapenz yao ya kuunga maji ya kuoga iriki, mdarasini, karafuu nasikia mpaka nyanya wanaweka sikuiz
sasa mm nimefanyiwa hayo mambo na uyo mtoto wa kitanga alafu mm sipendi sasa habari hizo na nimemwambia sana tu mm sifagilii mambo ayo
kilichonisibu sasa juzi ameshinda geto ile narudi namkuta ameaanda maji ya kuoga yamoto lakin sio yamoto bend ameweka maviungo yake kibao namaliza kuoga nakaa kidogo yani mwili wote ulikua unawaka moto kinoma alafu kulikua akuna joto kiviile
sasa mpaka saivi najiuliza aliweka nini sijui kwnye yale maji na nikimuuliza ananikenulia tu kama daktar wa meno, uamuzi naotaka kuufanya ni kumpiga chini....anazingua na maviungo yake.
lakin wadau mm kaswali kangu kamoja tu aliweka nn mule????
imefika
Unaomba ushauri au unatoa taatifaaje aje wadau,
daah mapenz bana kweli ni ubunifu lakin sio kwa ubunifu huu ulionitokea mm, sitaki kubwabwaja sana kama lara..
ipo ivi kuna mtoto wa kike nimekuanae kama miez kadhaa ivi, mtoto mwenywe wa kitanga na kama mnavojua story za tanga na mapenz yao ya kuunga maji ya kuoga iriki, mdarasini, karafuu nasikia mpaka nyanya wanaweka sikuiz
sasa mm nimefanyiwa hayo mambo na uyo mtoto wa kitanga alafu mm sipendi sasa habari hizo na nimemwambia sana tu mm sifagilii mambo ayo
kilichonisibu sasa juzi ameshinda geto ile narudi namkuta ameaanda maji ya kuoga yamoto lakin sio yamoto bend ameweka maviungo yake kibao namaliza kuoga nakaa kidogo yani mwili wote ulikua unawaka moto kinoma alafu kulikua akuna joto kiviile
sasa mpaka saivi najiuliza aliweka nini sijui kwnye yale maji na nikimuuliza ananikenulia tu kama daktar wa meno, uamuzi naotaka kuufanya ni kumpiga chini....anazingua na maviungo yake.
lakin wadau mm kaswali kangu kamoja tu aliweka nn mule????
imefika
Ndio maana Coastal Union, Mgambo jkt na African Sports wameshuka.....!!!
Hahahaha aliweka nin?Alichanganya na JIK
Hapana hiyo ungewashwa mpaka naniliukuna mtu kaniambia labda aliweka pilipili
Hahaaaa nimecheka sana kwenye daladala duuuhAlidhani wewe pilau nin..! Akakuwekea maudambu dambu yote hayo..! Oooouuuhhh au ndo ushawekwa kwa bottle