Kweli kanisa Katoliki wanapenda kiki:Eti wadau waliokamatwa waachwe bila masharti, hawa hawajui zama zao zimeshaisha

Sangamwalogesha

JF-Expert Member
Mar 10, 2025
857
609
We rais wa TEC ni nani kuiamrisha serikali iachie watuhumiwa wa uhaini tena unapanga bila masharti, who are you? Hawa maaskofu wanajitambua kweli? Wanafikiri hii ni Roma Empire? Wanapenda kiki za kijinga waonekane wana nguvu flani nyuma ya pazia waache upuuzi wao zile zama za kijinga za papa kusikilizwa imeshapitwa na wakati. Huku ni kumkosea Rais wa nchi adabu. Wahangaikie na mmomonyoko wa maadilli na ukatili uliokithiri ktk jamii km wanaweza. Hii nchi ina uongozi, ina sheria na taratibu za kuishi, wahuni wote wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. RC waheshimu serikali waache maupuuzi yao hayo. Km wanaona siasa inanoga waunde chama cha siasa mbn wakati wa Magu pamoja na ukatili aliokuwa anaufanya hawajawahi kukemea. Nyie hamuwezi kuwa na uhalali wa kukemea uovu nyie ni sehemu ya uovu kokote kwenye serikali dhaifu mmevuruga sana. Serikali hii ni strong huo upuuzi wenu hauna nafasi mmejaa ubaguzi wa kidini.
 
We rais wa TEC ni nani kuiamrisha serikali iachie watuhumiwa wa uhaini tena unapanga bila masharti, who are they? Hawa maaskofu wanajitambua kweli? Wanafikiri hii ni Roma Empire? Wanapenda kiki za kijinga waonekane wana nguvu flani nyuma ya pazia waache upuuzi wao zile zama za kijinga za papa kusikilizwa imeshapitwa na wakati. Huku ni kumkosea Rais wa nchi adabu. Wahqngaikie na mmomonyoko wa maadilli na ukatili uliokithiri ktk jamii km wanaweza. Hii nchi ina uongozi, ina sheria na taratibu za kuishi, wahuni wote wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. RC waheshimu serikali waache maupuuzi yao hayo. Km wanaona siasa inanoga waunde chama cha siasa mbn wakati wa Magu pamoja na ukatili aliokuwa anaufanya hawajawahi kukemea. Nyie hamuwezi kuwa na uhalali wa kukemea uovu nyie ni sehemu ya uovu kokote kwenye serikali dhaifu mmevuruga sana. Serikali ni strong huo upuuzi wenu hauna nafasi mmejaa ubaguzi wa kidini.
Nyie wapuuzi mna tumana huko ili muje kutujqzia UJINGA WENU HUMU JF?
Zama za RC Zimekwisha? Hivi unajielewa kweli wewe? Zilianza lini hizo zama? Ximeisha tangu lini?
Unajua SSH Allenda ROMA Kufanya nn wewe?
 
images(1).jpg
 
hahaha nimecheka hadi mbavu zinauma, unaponda Kanisa Katoliki hapo hapo unasema waliokamatwa washugulikiwe kwa mujibu wa Sheria, nani kaleta mfumo wa Kisheria unaoutukuza na unaolinda wapagani, waislamu na wengineo? uislamu au? na Sheria unayoiongelea ni ya kiislamu, au? wakati mwingine waislamu hawajui how Christian our country is, kuna mambo mengi mnaona ni ya kawaida katika maisha yenu ya kila siku lkn hamjui kwamba chimbuko lake ni Christianity …
 
Serikali na hili katoliki vyote hivyo ni vyombo vyakutawala watu tu so kila mmoja anavutia kwake!.. it's just a game hutakuja kuona wamekorofishana ni mwendo wakugonga cheers tu!.

poleni sana mnaochelewa kuujua ukweli nakubaki mnagugumia tu kama hivi!.
 
We rais wa TEC ni nani kuiamrisha serikali iachie watuhumiwa wa uhaini tena unapanga bila masharti, who are they? Hawa maaskofu wanajitambua kweli? Wanafikiri hii ni Roma Empire? Wanapenda kiki za kijinga waonekane wana nguvu flani nyuma ya pazia waache upuuzi wao zile zama za kijinga za papa kusikilizwa imeshapitwa na wakati. Huku ni kumkosea Rais wa nchi adabu. Wahqngaikie na mmomonyoko wa maadilli na ukatili uliokithiri ktk jamii km wanaweza. Hii nchi ina uongozi, ina sheria na taratibu za kuishi, wahuni wote wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. RC waheshimu serikali waache maupuuzi yao hayo. Km wanaona siasa inanoga waunde chama cha siasa mbn wakati wa Magu pamoja na ukatili aliokuwa anaufanya hawajawahi kukemea. Nyie hamuwezi kuwa na uhalali wa kukemea uovu nyie ni sehemu ya uovu kokote kwenye serikali dhaifu mmevuruga sana. Serikali ni strong huo upuuzi wenu hauna nafasi mmejaa ubaguzi wa kidini.
Nyie vibaraka mnakilinganisha na TEC, wenzenu hao wanafanya research na kupata evidence ndiyo wanakuja na hayo wansyosema. Nyie mmeishia kwenye intuition mnaandiks mnachofikiria kitawapendeza mabwana zenu. Hawa TEC wana watu wenye Masters na PhDs wanafanya research na kuhakikisha wanakuja na conclusion wnachuja kila kitu. Chawa wakubwa nyie
 
Hizo zama zimeisha kwenda wapi? nyie wapuuzi mnaotumika na mbongambonga tafuteni kazi halali ya kufanya.
 
We rais wa TEC ni nani kuiamrisha serikali iachie watuhumiwa wa uhaini tena unapanga bila masharti, who are they? Hawa maaskofu wanajitambua kweli? Wanafikiri hii ni Roma Empire? Wanapenda kiki za kijinga waonekane wana nguvu flani nyuma ya pazia waache upuuzi wao zile zama za kijinga za papa kusikilizwa imeshapitwa na wakati. Huku ni kumkosea Rais wa nchi adabu. Wahqngaikie na mmomonyoko wa maadilli na ukatili uliokithiri ktk jamii km wanaweza. Hii nchi ina uongozi, ina sheria na taratibu za kuishi, wahuni wote wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. RC waheshimu serikali waache maupuuzi yao hayo. Km wanaona siasa inanoga waunde chama cha siasa mbn wakati wa Magu pamoja na ukatili aliokuwa anaufanya hawajawahi kukemea. Nyie hamuwezi kuwa na uhalali wa kukemea uovu nyie ni sehemu ya uovu kokote kwenye serikali dhaifu mmevuruga sana. Serikali ni strong huo upuuzi wenu hauna nafasi mmejaa ubaguzi wa kidini.
Watz huwa mnajidanganya sana na likiwaka mnaanza kulaumu ohh kuna hiki ohh kanisa linahamasisha vurugu.tunazijua akili za wabongo.
 
We rais wa TEC ni nani kuiamrisha serikali iachie watuhumiwa wa uhaini tena unapanga bila masharti, who are they? Hawa maaskofu wanajitambua kweli? Wanafikiri hii ni Roma Empire? Wanapenda kiki za kijinga waonekane wana nguvu flani nyuma ya pazia waache upuuzi wao zile zama za kijinga za papa kusikilizwa imeshapitwa na wakati. Huku ni kumkosea Rais wa nchi adabu. Wahqngaikie na mmomonyoko wa maadilli na ukatili uliokithiri ktk jamii km wanaweza. Hii nchi ina uongozi, ina sheria na taratibu za kuishi, wahuni wote wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. RC waheshimu serikali waache maupuuzi yao hayo. Km wanaona siasa inanoga waunde chama cha siasa mbn wakati wa Magu pamoja na ukatili aliokuwa anaufanya hawajawahi kukemea. Nyie hamuwezi kuwa na uhalali wa kukemea uovu nyie ni sehemu ya uovu kokote kwenye serikali dhaifu mmevuruga sana. Serikali ni strong huo upuuzi wenu hauna nafasi mmejaa ubaguzi wa kidini.
Kwani wewe unawapinga kwa ajili ya dini yao, au ukweli wanaousema.
 
Back
Top Bottom