Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

Kama umegundua kitu watu wakishuka kwenye pantoni pia hutoka mbio utadhani wanashindana (zamani nilidhani ni sheria).

Sijapata jibu na sina jibu hapa.
Nimetamani kucheka kwa sauti ila nimeshindwa maana nipo kwenye pantoni saa hizi
 
Back
Top Bottom