Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,632
A gun can shoot rounds and rounds and rounds, but a vest can only hold a few bullets. Look at it from that perspective.
Huyo Mungu aliyemuumba Adam na Hawa ndiye aliyempa Hekima mfalme Sulemani mpaka akaoa wake zaidi ya hao wanne pia akampa uwezo na ufunuo kwa mtumishi wake Daudi naye akamiliki wake wengi tu.So msijaribu kukosoa mipango ya Mungu kwa wake jamani.Ni ushetani tu ulioitiwa ni taratibu za kidini ili kutetea uzinzi na uasherati kwani Mungu alipo muumba Adam na kisha kumletea msaidizi wake Hawa na mbona hakumletea na Aisha na Ummy na Husna na Hadija? hakujua anachokifanya mpaka eti wanadamu tena wenye dhambi ndio waje wafanyie marekebisho acheni ujinga wenu hapa Mume mmoja kwa Mke mmoja mengine ni Ushetani hata uuvishe nini!
Karibu uzeebusaraKuna sababu kadhaa wa kadha<br />1: Maumbile ya mwanamke na mwanaume ni tofauti.<br />2: Mwanamke akifanya tendo la ndoa na wanaume tofauti tofauti, huchoka, hukongoroka, hupoteza mvuto wake n.k.<br />3: Kwa mwanamke nature yake itafikia kipindi atajifungua mtoto, utata juu ya kiumbe kitakachozaliwa utajitokeza, nani atakuwa baba halali wa mtoto n.k. Najua unaweza sema kuna DNA, ila mwenyewe utakuwa ni shahidi kwamba pamoja na kuwepo kwa DNA ishu ya kugombania watoto kwa wanaume ipo hata mtu akiambiwa si wake sometimes hung'ang'ania kuwa ni wake since alishawahi kujamiiana na mwanamke husika<br />4: Ni zawadi toka kwa Mungu, imekuja si kwa kulazimishwa kuwa lazima mwanaume aoe wake wanne, lakini pia kufanya hivyo kumewekewa masharti na masharti hayo lazima yatimizwe<br />5: Mungu ndie awajuae zaidi viumbe wake, hivyo kusema hivyo hakukosea<br />6: Kufanya maoenzi na wanaume wengi kiafya si nzuri kwa mwanamke kuna athari kubwa sana ya manii kuvunda, kujenga vishimo n.k katika utupu wa mwanamke. Hii ipo scientifically zake<br />7: Idadi ya wanawake kuwa kubwa kuliko wanaume. Ratio is not 1:1<br />8: Kuwasitiri wanawake wajane.<br />n.k<br /><br />Hizo ni baadhi tu ya sababu.
Masha Allaah umejibu kwa hekma sana,
Sikuhiziumeanzakuandikavizurisana.keepitup.Sio mbaya kuuliza ndugu zangu mnaoruhusiwa kuoa wanawake wanne kwanini na wao wasirusiwe kuolewa na wanaume wanne.
Tufike wakati tuwe na usawa kidogo kama nyumbani tumefikia kuleta vyakula pamoja basi na huku sheria tuwe sawa.
Acha sifa za kijinga kukebehi dini na imani za watu wewe kama si mdau wa wake wanne unapoteza tuNi ushetani tu ulioitiwa ni taratibu za kidini ili kutetea uzinzi na uasherati kwani Mungu alipo muumba Adam na kisha kumletea msaidizi wake Hawa na mbona hakumletea na Aisha na Ummy na Husna na Hadija? hakujua anachokifanya mpaka eti wanadamu tena wenye dhambi ndio waje wafanyie marekebisho acheni ujinga wenu hapa Mume mmoja kwa Mke mmoja mengine ni Ushetani hata uuvishe nini!
Mungu alisema wapi muoe wanawake zaidi ya mmoja? Hv unadhani Mungu alishindwa kumuumba Adamu akampa hawa, Asia, mariam, Josephine? Ndoa ni ya watu wawili bana. Mungu angetaka hvo basi angempa adamu wake zaidi ya mmoja. Tamaa yenu msimcngzie na Mungu.Kuna sababu kadhaa wa kadha
1: Maumbile ya mwanamke na mwanaume ni tofauti.
2: Mwanamke akifanya tendo la ndoa na wanaume tofauti tofauti, huchoka, hukongoroka, hupoteza mvuto wake n.k.
3: Kwa mwanamke nature yake itafikia kipindi atajifungua mtoto, utata juu ya kiumbe kitakachozaliwa utajitokeza, nani atakuwa baba halali wa mtoto n.k. Najua unaweza sema kuna DNA, ila mwenyewe utakuwa ni shahidi kwamba pamoja na kuwepo kwa DNA ishu ya kugombania watoto kwa wanaume ipo hata mtu akiambiwa si wake sometimes hung'ang'ania kuwa ni wake since alishawahi kujamiiana na mwanamke husika
4: Ni zawadi toka kwa Mungu, imekuja si kwa kulazimishwa kuwa lazima mwanaume aoe wake wanne, lakini pia kufanya hivyo kumewekewa masharti na masharti hayo lazima yatimizwe
5: Mungu ndie awajuae zaidi viumbe wake, hivyo kusema hivyo hakukosea
6: Kufanya maoenzi na wanaume wengi kiafya si nzuri kwa mwanamke kuna athari kubwa sana ya manii kuvunda, kujenga vishimo n.k katika utupu wa mwanamke. Hii ipo scientifically zake
7: Idadi ya wanawake kuwa kubwa kuliko wanaume. Ratio is not 1:1
8: Kuwasitiri wanawake wajane.
n.k
Hizo ni baadhi tu ya sababu.
Sio mbaya kuuliza ndugu zangu mnaoruhusiwa kuoa wanawake wanne kwanini na wao wasirusiwe kuolewa na wanaume wanne.
Tufike wakati tuwe na usawa kidogo kama nyumbani tumefikia kuleta vyakula pamoja basi na huku sheria tuwe sawa.
kama wewe ni binti muislam mwenye kuitambua dini yako basi utaelelewa haya ninayokufunulia. lkn kama ni wa upande ulee wa pili basi huna haki ya kupayuka kwa mambo usiyoyajua na haswa mambo ya dini. umezaliwa umemkuta mama yako aliyekuzaa ni wa upande huo na ndio maana umemfuata itikadi uliyomkuta nayo. na ungemkuta pia ni katika upande mwingine ni ukweli pia ungemfuata huko alikoaminia. JIREKEBISHE NA CHUNGA NDIMI YAKO USIPAYUKE KAMA UMEREWWA TAPTAP....Mungu alisema wapi muoe wanawake zaidi ya mmoja? Hv unadhani Mungu alishindwa kumuumba Adamu akampa hawa, Asia, mariam, Josephine? Ndoa ni ya watu wawili bana. Mungu angetaka hvo basi angempa adamu wake zaidi ya mmoja. Tamaa yenu msimcngzie na Mungu.
Kwa kuwa dini si yako na ni mvivu wa kusoma na kufuatilia ndo maana hujui Mungu amesema wapi. Jenga utamaduni wa kufanya tafiti kwanza na kujiridhisha kabla ya kubwabwaja. Huwa sipendi kutumia lugha kali ila hapa imenibidi..umeboaMungu alisema wapi muoe wanawake zaidi ya mmoja? Hv unadhani Mungu alishindwa kumuumba Adamu akampa hawa, Asia, mariam, Josephine? Ndoa ni ya watu wawili bana. Mungu angetaka hvo basi angempa adamu wake zaidi ya mmoja. Tamaa yenu msimcngzie na Mungu.
Dah...Maneno hayo.1. Mtu mmoja anaweza kuingia choo zaidi ya kimoja asitoke na harufu mbaya. Choo kinachotumiwa na wengi nadhani unajua kinavyokuwa.
2. Dereva mmoja anaweza kuendesha gari zaidi ya moja bila ya yeye kukongoroka. Gari inayoendeshwa na wengi nadhani unajua inavyokuwa.
3. Nirahisi kuazimisha MCHI kuliko KINU, mchi ni rahisi kusafisha. Kinu usafishaji wake nadhani unajua. Usiombe uliemuazimisha akatwangia kisamvu, ukitia mchele ujue utatoka kijani.
Ukweli unauma.Kwa kuwa dini si yako na ni mvivu wa kusoma na kufuatilia ndo maana hujui Mungu amesema wapi. Jenga utamaduni wa kufanya tafiti kwanza na kujiridhisha kabla ya kubwabwaja. Huwa sipendi kutumia lugha kali ila hapa imenibidi..umeboa
asante nduguNi ushetani tu ulioitiwa ni taratibu za kidini ili kutetea uzinzi na uasherati kwani Mungu alipo muumba Adam na kisha kumletea msaidizi wake Hawa na mbona hakumletea na Aisha na Ummy na Husna na Hadija? hakujua anachokifanya mpaka eti wanadamu tena wenye dhambi ndio waje wafanyie marekebisho acheni ujinga wenu hapa Mume mmoja kwa Mke mmoja mengine ni Ushetani hata uuvishe nini!
Hamna ukweli wowote uliouongea, ujinga wako tu ndio unaokusumbuaUkweli unauma.