Kwanini wana CHADEMA wengi hawaungi mkono vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Habari za leo wana JF,

Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?

KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?




HII NI TAARIFA IMETOKANA NA UTAFITI WA KISAYANSI ULIOUFANYA AU NI UDAKU TU WA KIBASHITE BASHITE...!!??





Tafakari...!!
 
Hawaungi mkono kwasababu Mbowe Mhusika!!
kama ujuavyo Mbowe ndio janga la vijana wanywa viroba lazima wasiunge mkono!!
Pia Cdm kwasasa ndio DAMPO la uchafu wowote
lazima wasiunge mkono
ili DAMPO lipate kuhifadhi uchafu huo
 
Habari za leo wana JF,

Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?

KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?
Wengi ni drug dealers. Wewe juilize inakuwaje Mbowe anaanza kujifanya kulima ili kutakatisha pesa za madawa. Vile vile Mch. Msigwa naye keshaanza kujifanya kulima ili kutakatisha fedha haram za madawa ya kulevya, na ndiyo maana serikali inawakomalia, na lazima iwadake tu, maana Mbowe shamba alishanyang'anywa, na watafuatilia miamala yake ya fedha yote. Hivyo ufipa ni genge la mafisadi na wauza madawa ya kulevya.
 
Hawana ajenda yoyote ya kijamii, kiuchumi au kisiasa. Wao ni kuunga mkono upuuzi kwa lengo la kuwagawanya Watz.
 
Hayo ni maoni yako wewe fala. Huwezi tumia lugha kama hiyo katika swala hili mhimu la kitaifa na kwa kukitaja chama.

Chadema ni chama makini na chenye watanzania wazalendo. Kwani sote tunajua Madawa hayachagui chama, dini, kabila au sura ya mtu katika kuathiri na kuatarisha maisha ya watanzania.

Kwa hiyo hebu jitahidi kuleta hoja makini na sio hizo laama za mama yako kwa lengo la kuzalilisha chama.
 
Habari za leo wana JF,

Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?

KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?
804186f5d92b33637b91abd9e4eb9441.jpg
tunataka tujue kwanza hili jengo kama ni la ccm, wamepanga au ni la serikali au chanzo cha fedha ya kujengea hili jengo
 
Habari za leo wana JF,

Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?

KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?
Mwenyekiti wetu alitajwa. Mwanzoni tuliunga mkono watajwe mapapa sio vidagaa. Kumbe hatukujua kama hata chea wetu alishagundulika!! Piiipoooz!!!
 
Habari za leo wana JF,

Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?

KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?
Wewe kilaza kweli, kwanza akila zako zinakotosha? Umesikia cdm wanampiga kamishna wa dawa za kulevya? Hawakumtaka makonda, kwanza si kazi yake, pili utaratibu, na mbaya zaidi aliingiza siasa na chuki. Kwa taarifa yako ungesema kwa nini nape na wabunge wengine wa ccm wanapinga makonda?
 
Back
Top Bottom