Kwanini viongozi wa vyama vya upinzani hawabadiliki?!

FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI CHADEMA
Jamii
Posted On Monday, 15 September 2014 04:15 Written by mjengwablog
Rate this item
(0 votes)
CHADEMA2.jpg


Freeman Mbowe akiwasalimia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema.

Freeman Mbowe ameshinda tena nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa baada ya kupata jumla ya kura 789 huku mpinzani wake Ngambaranyela Mongatero akipata kura 20.

CHADEMANEW.jpg


Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia mkutano huo.

Mbowe ameshinda nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara imechukuliwa na Prof. Abdallah Safari aliyepata kura 775 za ndiyo huku kura za hapana zikiwa 34 baada ya kuwa mgombea asiye na mpinzani.

Makamu Mwenyekiti Zanzibar ni Said Issa Mohamed aliyepata jumla ya kura 645 huku mpinzani wake Hamad Mussa Yusuph akiambulia kura 163.GPL(P.T)
ukomo wa kuwa mwenyekiti chadema ulikuwa ni awamu ngapi ???
na kwanini uliongezeka???
zidumu fikra za mwenyekiti

yani tabia zote za kiccm zimeamia upinzani
 
Miaka nenda miaka rudi, viongozi wa labda CHADEMA, CUF, TLP nakadhalika ni WALEWALE TU?! Kwanini hawateuliwi au kuchaguliwa wapya kama CCM? Je wanachama wa hivi vyama hawana upeo au "options" ya kuchaguwa viongozi wapya bila kujali dini, kabila umri au elimu na wenye mawazo mapya?

Mbona tabia ya Chama chenu cha CCM haijaacha tabia ya kuua watanzania wasiyo na hatia?
 
ukomo wa kuwa mwenyekiti chadema ulikuwa ni awamu ngapi ???
na kwanini uliongezeka???
zidumu fikra za mwenyekiti

yani tabia zote za kiccm zimeamia upinzani

Tutawabadilisha siku mkiacha kutumia Mapanga na Mtutu kwenye Chaguzi
 
ukomo wa kuwa mwenyekiti chadema ulikuwa ni awamu ngapi ???
na kwanini uliongezeka???
zidumu fikra za mwenyekiti

yani tabia zote za kiccm zimeamia upinzani
waulize mwigamba,slaa,mkumbo na zitto waliokuwepo chadema na kushiriki kubadili kipengele cha ukomo
 
Miaka nenda miaka rudi, viongozi wa labda CHADEMA, CUF, TLP nakadhalika ni WALEWALE TU?! Kwanini hawateuliwi au kuchaguliwa wapya kama CCM? Je wanachama wa hivi vyama hawana upeo au "options" ya kuchaguwa viongozi wapya bila kujali dini, kabila umri au elimu na wenye mawazo mapya?
Mkuu hizo ni Sacco's za watu binafsi, si vyama vya siasa
 
Back
Top Bottom