Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 2,813
- 7,567
Mkuu hizi mambo zishakuwa universal na saa hizi ziko exposed sana bila hata aibu. Kwenye entertainment ndio wanapitia huko Sasa kufanya promotion zao. I feel sorry for the futuresNashukuru Mungu nilipofika si habari, nimekula kula chumvi kidogo
Kwahiyo mambo mengi tunayoyaona na kuyasoma humu Kwa kiasi kikubwa yanakuwa mageni Kwa sisi wenye umri huu wa Uzee
Miaka yetu ilikuwa Mwanaume mmoja anaoa wake hata watatu lakini Siku hizi Mwanaume anaona fahari kuchukua dudu yake na kumuingiza Mwanaume mwenzake
Kama sio kukosa akili ni nini huku?
Badala ya kuonesha urijali Kwa Kuoa, wao wanaona urijali ni kuwageza Wanaume wenzao Wanawake 🙌