Salaam, shalom!!
Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na kuingia DRC?
NB: Nia ya kuuliza swali hili ni njema, inalenga kujua jinsi Gani Tanzania ilivyobarikiwa( KIIMANI NA KIULINZI) Ili tuzidi kuwa Wazalendo, tuithamini na kuipenda na kujilinda Nchi yetu.
Karibuni Kwa majibu 🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanganyika
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Amen.
Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na kuingia DRC?
NB: Nia ya kuuliza swali hili ni njema, inalenga kujua jinsi Gani Tanzania ilivyobarikiwa( KIIMANI NA KIULINZI) Ili tuzidi kuwa Wazalendo, tuithamini na kuipenda na kujilinda Nchi yetu.
Karibuni Kwa majibu 🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanganyika
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Amen.