Kwanini Tanzania hatuna self made young & rich, black people, kama kina blord, mompha, na e-money wa kule Nigeria?

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,754
5,851
Habarini

Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani unaona kabisa huyu mtu hafeki life, haya ndo maisha yake halisi, efcc kule Nigeria kuna kipindi walimkamata, ila baadae walimuachia.

Hapa Tanzania kuna kina chief godlove (nahisi hana hela nyingi kihivyo anazoclaim anazo) na sirjeff Dennis (huyu tayari chali), Patrick ngowi (sahivi chali) dj ally b (asset yake nahisi ni nyumba 1 ya ghorofa ambayo inasemekana amepanga, na magari ambayo huenda ni ya kukodi ), don shafiney (hela zake marinjirinji)

Ina maana hapa Tanzania hakuna celebrity entrepreneur kijana ambaye ni self made mwenye networth walau ya $1 million usd hata mmoja, wanaijeria wametuzidi wapi?

Hata kwenye list ya matajiri top 10 Tanzania hamna mweusi hata mmoja, alikuepo Mengi ndo huyo alishafariki

Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)

Screenshot_20240503-161037.jpg
Screenshot_20240503-161131.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240503-161157.jpg
    Screenshot_20240503-161157.jpg
    99.4 KB · Views: 2
Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)
Wanawaita YAHOO BOYS, usijipimie na wanaijeria utasanda hao ni mabingwa wa kuishi anonymous life ambayo wewe hata ufanyaje haujui wakaficha mpaka kuficha Ila unaona tu wanashika dollar

Bongo ukifyatua tu Bank fulani Jamaa wanaanza kukulia Mingo mdogo mdogo wanakuwekea mtego wakutaitishe wakudake wakutie ndani ulale ukiwa nyuma ya NONDO pembeni una kidebe cha kunyea na kukojolea Ila huko naijeria hio michezo wanaicheza Nchi mbalimbali ni mwendo wa kukwangua dollar tu, jaribu wewe hapa Bongo uone balaa lake
 
Comments tu za waTanzania humu zinaonyesha tayari wanejikatia tamaa na hawaamini kama kijana wa miaka 30 au chini kuwa bilionea, we unafikiri atatokea?

Huyu Blord naona ana pesa kweli, kawekeza kwenye tech, ana Apps kama 4 zinaingiza pesa, kama hio jetpay ni masuala ya miamala, hivyo kuna faida anapata kila mtu anapofanya muamala japo sijafuatiklia deep.

Hizi mambo kuna yule kijana mTanzania alikuja na App inaitwa Nala, sasa hivi NALA headquarter ipo Nairobi Kenya, ndio ujue Tanzania ina u$3nge kiasi gani...

Kama huyo jamaa wa NALA tayari angekuwa supported na serikali alikuwa ni bilionea mkubwa tu.

Vijana wanapiga harakati online hadi leo serikali wameshindwa kuwezesha paypal ifanye kazi Tanzania.

Internet ya Elon ile starlink imefika Nigeria hadi Kenya lakinj hii mizee yenye roho mbaya haitaki starlink ifike Tz, mizee isiyojua chochote kuhusu dunia ilipo inaziba mirija yote kwa vijana kuwa matajiri na kunufaika.

Vijana wenye akili na ideas kuwa billionaires wapo tatizo ni hawa vikongwe walioshikilia mpini, wachawi sana.

Wanataka kuona kila siku vijana wakiendesha boda, kufanya kazi za vibarua wa ujenzi, kazi za viwandani , ualimu, jeshini n.k...

Kama unataka kutimiza malengo, hii nchi si ya kuishi.

Shit hole kabisa.
 
Comments tu za waTanzania humu zinaonyesha tayari wanejikatia tamaa na hawaamini kama kijana wa miaka 30 au chini kuwa bilionea, we unafikiri atatokea?

Huyu Blord naona ana pesa kweli, kawekeza kwenye tech, ana Apps kama 4 zinaingiza pesa, kama hio jetpay ni masuala ya miamala, hivyo kuna faida anapata kila mtu anapofanya muamala japo sijafuatiklia deep.

Hizi mambo kuna yule kijana mTanzania alikuja na App inaitwa Nala, sasa hivi NALA headquarter ipo Nairobi Kenya, ndio ujue Tanzania ina u$3nge kiasi gani...

Kama huyo jamaa wa NALA tayari angekuwa supported na serikali alikuwa ni bilionea mkubwa tu.

Vijana wanapiga harakati online hadi leo serikali wameshindwa kuwezesha paypal ifanye kazi Tanzania.

Internet ya Elon ile starlink imefika Nigeria hadi Kenya lakinj hii mizee yenye roho mbaya haitaki starlink ifike Tz, mizee isiyojua chochote kuhusu dunia ilipo inaziba mirija yote kwa vijana kuwa matajiri na kunufaika.

Vijana wenye akili na ideas kuwa billionaires wapo tatizo ni hawa vikongwe walioshikilia mpini, wachawi sana.

Wanataka kuona kila siku vijana wakiendesha boda, kufanya kazi za vibarua wa ujenzi, kazi za viwandani , ualimu, jeshini n.k...

Kama unataka kutimiza malengo, hii nchi si ya kuishi.

Shit hole kabisa.
ume sema na kusikika vyema comrade, hii nchi uki zipata za kutosha ni kusepa tu.
 
Comments tu za waTanzania humu zinaonyesha tayari wanejikatia tamaa na hawaamini kama kijana wa miaka 30 au chini kuwa bilionea, we unafikiri atatokea?

Huyu Blord naona ana pesa kweli, kawekeza kwenye tech, ana Apps kama 4 zinaingiza pesa, kama hio jetpay ni masuala ya miamala, hivyo kuna faida anapata kila mtu anapofanya muamala japo sijafuatiklia deep.

Hizi mambo kuna yule kijana mTanzania alikuja na App inaitwa Nala, sasa hivi NALA headquarter ipo Nairobi Kenya, ndio ujue Tanzania ina u$3nge kiasi gani...

Kama huyo jamaa wa NALA tayari angekuwa supported na serikali alikuwa ni bilionea mkubwa tu.

Vijana wanapiga harakati online hadi leo serikali wameshindwa kuwezesha paypal ifanye kazi Tanzania.

Internet ya Elon ile starlink imefika Nigeria hadi Kenya lakinj hii mizee yenye roho mbaya haitaki starlink ifike Tz, mizee isiyojua chochote kuhusu dunia ilipo inaziba mirija yote kwa vijana kuwa matajiri na kunufaika.

Vijana wenye akili na ideas kuwa billionaires wapo tatizo ni hawa vikongwe walioshikilia mpini, wachawi sana.

Wanataka kuona kila siku vijana wakiendesha boda, kufanya kazi za vibarua wa ujenzi, kazi za viwandani , ualimu, jeshini n.k...

Kama unataka kutimiza malengo, hii nchi si ya kuishi.

Shit hole kabisa.
Hapo mwisho ndio umeongea Ila paragraphs za juu hakuna ulichoongea haujui Backdoor yake ni IPI Mzee mengine usiyazungumzie km hauyajui kwa kina, app 4 tu uwe billionaire Mange Kimambi angekua anakimbiza kuna watu wana app kibao na sio mabillionaire, Ila hapo kwenye SHITHOLE nimekuelewa vizuri
 
Hapo mwisho ndio umeongea Ila paragraphs za juu hakuna ulichoongea haujui Backdoor yake ni IPI Mzee mengine usiyazungumzie km hauyajui kwa kina, app 4 tu uwe billionaire Mange Kimambi angekua anakimbiza kuna watu wana app kibao na sio mabillionaire, Ila hapo kwenye SHITHOLE nimekuelewa vizuri
Una App kibao zinafanya nini?

Apps zinazofanya miamala zinaingiza pesa sana, mfano mtu ana App inafanya miamala 1000000 kwa siku, kila muamala kwa kiwango kidogo kabisa akate Tshs 200 tu, zidisha kwa miamala hio 1000000 ni sawa na milioni 200 kwa siku.

Sasa mtu anaingiza milioni 200 per day huyo si bilionea? Tena hapo ni makadirio ya chini japo kuna kodi n.k lakini ni pesa ndefu.

Ndio kama huyo dogo na App yake ya jetpay anaingiza serious money...

Anachofanya anatafuta idea, anatafuta developer wa kufanikisha ideas zake za App anamlipa then anaendelea kusimamia Apps zake, haya ndio walifanya kina Zuckerberg, Elon, Billgate n.k hadi leo wana tech companies kubwa, huku Tz bado sana watu wamelala.
 
,
Anachofanya anatafuta idea, anatafuta developer wa kufanikisha ideas zake za App anamlipa then anaendelea kusimamia Apps zake, haya ndio walifanya kina Zuckerberg, Elon, Billgate n.k, huku Tz bado sana watu wamelala.
Unataka kusema Mmiliki wa GasFasta ni billionaire wa Bongo? Mmiliki wa FundiUjenzi ni billionaire wa Bongo? Maana apps zote hizo zinaingiza Pesa km unataka kusema apps za Pesa zinalipa niambie ukwasi wa Mmiliki wa app za Bolt na Uber maana hizo apps zinaingiza Pesa balaa Ila hukuti wamiliki wakijitangaza wanajenga makanisa sijui upuuzi gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom