Kwanini nembo ya kenya ina picha ya madume ya simba mawili tu

MKWEPA KODI

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
28,701
71,052
Kwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani

Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Hii sasa ni kukosa hoja. Mikuki ilikuwa inatumiwa na jamii karibia zote Kenya. Hapo kwa kuwadhulumu wanawake malalamishi yako mpelekee mwenzako Zipporah Kitonyi, wa chama cha maendeleo ya akina mama. M#p*mb* ya hao simba wawili umeyaona wapi? Ulijuaje ni dume wawili? Kuna uwezekano kwamba wote ni wa kike.
 
Kwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani

Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru


Hiyo ni kazi ya Muzungu, siyo Wakenya hivyo kuwauliza ni kuwaonea hawawezi kujua!
 
Hii sasa ni kukosa hoja. Mikuki ilikuwa inatumiwa na jamii karibia zote Kenya. Hapo kwa kuwadhulumu wanawake malalamishi yako mpelekee mwenzako Zipporah Kitonyi, wa chama cha maendeleo ya akina mama. M#p*mb* ya hao simba wawili umeyaona wapi? Ulijuaje ni dume wawili? Kuna uwezekano kwamba wote ni wa kike.
Kwahiyo simba jike wana masharubu?
 
Kwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani

Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkuu unatafuta maneno na wakina dada wa Otieni
 
Copycat of Tanzania the earliest issuer of independent coat of arms in Eastern, Central and Southern Africa

A lot of characters there have been shipped from Tanzanian coat of arms
Nchi ya watu wa inferiority complex hadi mwanamke anavaa wig kwenye Coat of Arms?
 
Copycat of Tanzania the earliest issuer of independent coat of arms in Eastern, Central and Southern Africa

A lot of characters there have been shipped from Tanzanian coat of arms

Are you really picking a fight with this stuff?
Courts of arms have existed since medieval era!
Why be the whining prick to claim Tz patent ownership!? Copycat my foot!
 
So far hamna Mkenya alie toa jibu la kueleweka! Mnasifia elimu yenu ila hapa siioni ikifanya kazi. Tz mtoto wa darasa la tatu anajua mihimili yote ya nchi, rangi za bendera na maana zake pamoja na nembo ya taifa, achilia mbali nyimbo za kutukuza uzalendo. Au wajameni hamnanga somo la civics uko. Mibaba mme chemka kotoa jibu mnaleta masikhara tu, wengine wana chungulia na kuhepa.. hahahaaaa nacheka kwa dharau

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mk254 swali mubashara.

Hili swali halina mbele wala nyuma, kwanini nembo yenu ina pembe za ndovu halafu nchi yenu inaongoza kwenye uharamia wa hizo hizo pembe.
Halafu nembo mumeweka mashoka na mikuki, mwenge na mazagazaga mengi duh!!

ngao.png
 
Hili swali halina mbele wala nyuma, kwanini nembo yenu ina pembe za ndovu halafu nchi yenu inaongoza kwenye uharamia wa hizo hizo pembe.
Halafu nembo mumeweka mashoka na mikuki, mwenge na mazagazaga mengi duh!!

ngao.png
Nembo yetu inajieleza, lakini mpaka uwe mtanzania ndio utaielewa. Kwanza mke na mume, ndio kiilelezo halisi cha jamii ya watu wa nchi hii, sio misimba miwili midume huku mnasema hilo swala hakuna umuhimu kwetu. Duh ni unafiki wa kiwango cha lami.

Pembe za ndovu au tembo ishara wanyama , shoka na nyundo pamoja na rangi nyekundu inawakilisha jeshi letu. Mazao ya biashara na chakula yako hapo chini. Mwenge ni kuangazia dunia uhuru wetu. Maneno chini, sisi ni huru na tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom