"ukiona maadui wako wanalalamika, ujue umewatwanga...ukiona wanakusifia, ujiulize mara mbili umeteleza wapi"
Huyo ni mkuu wa kaya, ambaye kwake wapinzani ni maadui. kwa hiyo tutarajie mbinyo mkali zaidi, na "kutwangwa zaidi"
Ni jambo jema kwenu CCM na ndo mana mnabana uhuru wa kujieleza na kutumia vyombo vya dola kuzuia wapinzani. Hiyo inaonyesha kuna madudu yanaendelea na hamtaki yajulikaneNilifikiri ndo jambo jema kwako chadema kama wananchi wakichoka, au?
Mtu akifanya vurugu mbele ya polisi ni lazima ashtakiwe na aliemfanyia fujo au ni kazi ya polisi kufanya kazi yao na kufwata sheria.Alishtakiwa?
Na je alikata tepe ya polisi?
Kampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?
Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa
Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.
Hivi kama nimekupiga ngumi na hukwenda kushitaki mahakamani,,unategemea sheria ichukue hatua gani dhidi yangu??
Wakati mwingine ni vyema tukawa tuna ufahamu wa kutosha kuhusu maswala madogo madogo ya kisheria sio kukurupuka na kufananisha ishu mbili tofauti.
UJINGA NI ZIGO ZITO LA MISUMARI
Bichwa Lako Kubwa Kichwa Fyatu.Hivi kama nimekupiga ngumi na hukwenda kushitaki mahakamani,,unategemea sheria ichukue hatua gani dhidi yangu??
Wakati mwingine ni vyema tukawa tuna ufahamu wa kutosha kuhusu maswala madogo madogo ya kisheria sio kukurupuka na kufananisha ishu mbili tofauti.
UJINGA NI ZIGO ZITO LA MISUMARI
Kwani ulipigwa wewe?mbona una kihere here sana.Kampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?
Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa
Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.
Hakumpiga ngumi alimtandika jamaa bakora zile za kuchungia ng'ombe hadi chiniNdungai alimpiga mtu ngumi lakini hakufungwa.kuna wengine walikamatwa na meno ya tembo na silaha nzito lakini wao walitozwa faini.kwanini huu tusiuite udikteta kwa wanao mkosoa!!!.?
Huu ndiyo mwisho wako wa kufikiri?Jinyonge !!
Kumpiga mwananchi na rungu ni sawa? Kwa nini alipata PF3 ya polisi? Unadhani kwa nini aliyepigwa mwisho wa siku alipewa cheo? Mkuu unatakiwa uunganishe dots mda mwingine.Hivi kama nimekupiga ngumi na hukwenda kushitaki mahakamani,,unategemea sheria ichukue hatua gani dhidi yangu??
Wakati mwingine ni vyema tukawa tuna ufahamu wa kutosha kuhusu maswala madogo madogo ya kisheria sio kukurupuka na kufananisha ishu mbili tofauti.
UJINGA NI ZIGO ZITO LA MISUMARI
Hawana sera kwa sasa..Sera ni kukandamiza wapinzaniMachakavu yanaamua kutumia mahakama kupunguza idadi ya wabunge wa Ukawa.
Hakuna mahakama ya watu wa ccmKampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?
Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa
Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.