M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
"ukiona maadui wako wanalalamika, ujue umewatwanga...ukiona wanakusifia, ujiulize mara mbili umeteleza wapi"
Huyo ni mkuu wa kaya, ambaye kwake wapinzani ni maadui. kwa hiyo tutarajie mbinyo mkali zaidi, na "kutwangwa zaidi"
....hadi hapo watwangwaji watakaposema enough is enough na kuamua "kutwanga back"!
na hapo ndipo WW3 itakapoanza rasmi...