Kwanini napenda sana kufanya mapenzi?

Mara 5 kila wiki???? ni kwa girlfriend huyo huyo au pale Ambiance?????? fanya utaratibu ukapime then oa kama bado
 
Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.

Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.

Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
yule mwanamke wako mwenye mdomo mmesharekebishana ama bado mnatifuana
 
Sikushangai. Hali ya hewa leo ni kama mbolea. Ina increase rate of reaction. Hali ya hewa hamasishi... Call it sex catalyst. Vipi watoto watatu hawakutoshi mkuu
 
Unapiga goli ngapi kwa mechi moja ili upate majibu sahihi isijekuwa hufanyi mapenzi ila unafanya mchezo wa mapenzi.
 
bado huna tatizo
kuna mmoja niliwai kusikia yeye ilikuwa mara 30 kwa siku
 
Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.

Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.

Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
TATIZO LA MTU AMBAE HAJAKOMAA KIAKILI NA NDO MAANA NAKUULIZA VIPI SHULE YENU YA MSINGI IKO WAZI ? AU IMEFUNGWA?NYAMBAAAAAFU HOROROJA WEE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom