kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
Mara 5 kila wiki???? ni kwa girlfriend huyo huyo au pale Ambiance?????? fanya utaratibu ukapime then oa kama bado
yule mwanamke wako mwenye mdomo mmesharekebishana ama bado mnatifuanaMimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.
Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.
Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Mbona sijawahi kulausiwe unakula karanga ovyo
Tulishindwana mkuu,nimepata katoto kengine..yule mwanamke wako mwenye mdomo mmesharekebishana ama bado mnatifuana
DuuuuuuhhhAjiandae na kilichompata Dr wa Msoga.
NJOO PM BASII.Kwasababu kifanyio unacho...
TATIZO LA MTU AMBAE HAJAKOMAA KIAKILI NA NDO MAANA NAKUULIZA VIPI SHULE YENU YA MSINGI IKO WAZI ? AU IMEFUNGWA?NYAMBAAAAAFU HOROROJA WEE.Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.
Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.
Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?