Mkoa wa Mara kwa wizi hawajamboHasira ya kichuri
AiseeMkoa wa Mara kwa wizi hawajambo
Wamesababisha hadi mwanza CC maduka yanafungwa saa 12 jionMkoa wa Mara kwa wizi hawajambo
Aise
Nenda butimba gerezani uangalie wafungwa na mahabusu wenye kesi za wizi ujambazi uporaji mauaji utakuta ni kanda maalum mura Tarime na RoryaWamesababisha hadi mwanza CC maduka yanafungwa saa 12 jion
Ukiwa na maana gani mkuu?Tatizo ni ushamba wa wa wenyeji wa maeneo husika
🤣🤣🤣🙌Ukifika mwanza tembelea vituo vya polisi vyote peleleza watuhumiwa waliomo lockup, wenye kesi za wizi na ukabaji nakuapia wengi wao ni mkoa wa Mara
Imekuwa kawaida sana kusikia vijana wanauliwa na polisi kwenye migodi ya mkoa wa Mara wilaya ya Tarime.
Kwanini hatusikii haya migodi ya Geita, Chunya, Kahama, n.k.
So kweliUkifika mwanza tembelea vituo vya polisi vyote peleleza watuhumiwa waliomo lockup, wenye kesi za wizi na ukabaji nakuapia wengi wao ni mkoa wa Mara
Na Barick Nyamongo ndio mgodi unajitahidi hata kusomesha baadhi ya vijana wa Mara togauti na Bulyanhulu na iliyokuwa Buzwagi- KahamaImekuwa kawaida sana kusikia vijana wanauliwa na polisi kwenye migodi ya mkoa wa Mara wilaya ya Tarime.
Kwanini hatusikii haya migodi ya Geita, Chunya, Kahama, n.k.
Njoo nikuthibitishie niyasemayoSo kweli