Kwanini Lissu alikuwa na wagombea wake uchaguzi CHADEMA? Huu ndio ubaguzi aliompinga Mbowe?

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
6,722
10,171
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.

Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.
NIMEIKUTA ACCOUNT YAKE YA X
 
Wewe si ndiyo uliomba upigwe ban mkuu imekuwaje wamekuachia tena?
 
Jibu
Hoja chawa wa lissu
Hoja inaweza kujibiwa kwa swali pia.
Wewe uliomba upigwe ban ya maisha kama Lissu akishinda, halafu leo umeomba ufunguliwe na unatumia id yako.
Ndiyo maana watu walisema omba uliwe papa siyo uombe kupigwa ban.
 
K
Hoja inaweza kujibiwa kwa swali pia.
Wewe uliomba upigwe ban ya maisha kama Lissu akishinda, halafu leo umeomba ufunguliwe na unatumia id yako.
Ndiyo maana watu walisema omba uliwe papa siyo uombe kupigwa ban.
Kama Lema kamtukana matusi yote Mbowe. Mwisho anataka chama kimpe gari Mbowe . Mbona hili hushangai?
 
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.

Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.
NIMEIKUTA ACCOUNT YAKE YA X
You should give up lissu campaign, kisha chaguliwa. Ww peke yako ndio umebaki kurusha vimadanvisivyo na kichwa wala miguu

Relax rudi kwenye mambo yako ya dini yale
 
Watu wanachungulia , kama huamini mwambie heche , lema na Lissu wachapishe andiko ktk x yao, uone comment ambazo ni negative kwak
You should give up lissu campaign, kisha chaguliwa. Ww peke yako ndio umebaki kurusha vimadanvisivyo na kichwa wala miguu

Relax rudi kwenye mambo yako ya dini yale
 
Ccm ajambe kwa lissu? Ccm unawajua unawasikia? Akifanya chokochoko lissu ataangukia mbunge mmoja tena wa mtwambe kwa maalim seif
Wewe UWT huna lolote wala chochote, wajinga kama wewe wanaendelea kupungua Tanzania, mafanikio ya CCM ni nchi kuwa na wajinga wengi kama wewe.
 
Wewe UWT huna lolote wala chochote, wajinga kama wewe wanaendelea kupungua Tanzania, mafanikio ya CCM ni nchi kuwa na wajinga wengi kama wewe.
Lissu anaijua vizuri ccm. Akileta kidomo kidomo asubiri mbunge 1 tena wa Mtambwe kwa maalim seif
 
Back
Top Bottom