Kwanini iwe rangi hii na si nyingine?

Kwa Maoni Yangu Unaweza jazia na wewe Mdau

1. Kutenganisha na public transport.
2. Elimu ina thaman kama madini yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Namba 2, 3 na picha ni utata mtupu, pengine ranging elekezi ya serikali! Hizo gari kwenye picha ni za Marekani sasa ni vipi serikali yetu itoe maelekezo Marekani? Na bendera yetu inahusiana vipi na Marekani? Na unifomu za manesi?
 
Kwa Maoni Yangu Unaweza jazia na wewe Mdau

1. Kutenganisha na public transport.
2. Elimu ina thaman kama madini yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa kufahamu kuwa rangi ya mabasi ya shule kuwa njano tumeiga kutoka nchi zilizoendelea. Wao walishaanza zamani na walifanya hivyo kwa sababu utafiti ulionyesha rangi ya njano inaonekana kirahisi zaidi (kama walivyokwishasema wengine). Hata uki-search kwa Google jibu ni hili hili.

Why Are School Buses Yellow? » Science ABC

1585500856757.png
 
USA kuna tukio lilitokea kwa wanafunzi kupata madhara wakiwa kwenye school bus ndio ikapitishwa sheria gari zote za watoto wa shule ziwe za njano ili zionekane kirahisi
 
Ni sheria ni lazima zipakwe Gari ya njano nadhani hii ni kwa Dunia nzima.

Same apply to public & private cars should have white & yellow plate numbers respectively. Kuhusu baiskeli tusubiri wajuvyi wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Elimu ina thaman kama yawakilishwavyo katika bendera ya taifa.
3. Pengine ni rangi elekezi ya serikali
4......???View attachment 1403191

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Namba 2, 3 na picha ni utata mtupu, pengine ranging elekezi ya serikali! Hizo gari kwenye picha ni za Marekani sasa ni vipi serikali yetu itoe maelekezo Marekani? Na bendera yetu inahusiana vipi na Marekani? Na unifomu za manesi?[/QUOTE]Nimecheka mpaka nimeanguka kwa kiti

Allah kariim
 
Kama walivyosema wengine, rangi ya njano huonekana kwa urahisi, hata mashine zinazotumika kujenga barabara kama excavator, loader, roller n.k zinakuwa na rangi ya njano ili zionekane kwa urahisi. Lengo ni usalama.
 
Vyote umekosa mkuu.
Sababu kubwa ni kwakuwa rangi ya njano huonekana kiurahisi machoni pa Watu hivyo husaidia kuepusha ajari kwakuwa madereva wengine watayona hayo magari kiurahisi na kuchukua tahadhari.
Hii imeanzia huko America.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom