round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 611
- 2,110
Kwanini imezoeleka kukadiria mu flani kama kwao wana maisha mazuri basi wazazi wameajiriwa, kwanini isiwe imezoeleka kukadiria wazazi ni wafanyabiashara ?
Yusufu kwao wana maisha - mzee ni Engineer, Mama ni Muhasibu
Abdallah kwao wa kishua - Baba mkurugenzi, Mama ni mhadhiri pale IFM
Jacky kakulia maisha safi - Mzee wake ni Judge, mama yupo kitengo cha ugavi
Ukhty kwao wana pesa - Mshua wake ni ocd polisi, mama yake ni afisa masoko wa voda
Conclusion niliyoona wafanyabiashara ni matajiri lakini wengi ni waarabu na wahindi, kwa wabongo tajiri moja mfanyabiashara kazungukwa na wenzake wengi wenye hali za chini lakini kwa upande wa wafanyakazi serikalini sio matajiri lakini angalau kuna uwiano kiuchumi kwa wengi.
Yusufu kwao wana maisha - mzee ni Engineer, Mama ni Muhasibu
Abdallah kwao wa kishua - Baba mkurugenzi, Mama ni mhadhiri pale IFM
Jacky kakulia maisha safi - Mzee wake ni Judge, mama yupo kitengo cha ugavi
Ukhty kwao wana pesa - Mshua wake ni ocd polisi, mama yake ni afisa masoko wa voda
Conclusion niliyoona wafanyabiashara ni matajiri lakini wengi ni waarabu na wahindi, kwa wabongo tajiri moja mfanyabiashara kazungukwa na wenzake wengi wenye hali za chini lakini kwa upande wa wafanyakazi serikalini sio matajiri lakini angalau kuna uwiano kiuchumi kwa wengi.