Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
- Thread starter
- #41
Mkuu puneinen , mimi ni mwana CUF,Mkuu Mugabe, sasa nenda ukamdanganye mwenyekiti wako wa taifa halafu umshauri aondoe ule udikteta wa kuwazuia kufanya mikutano. Si mna uhakika hawapendwi wape uhuru wa kufanya shughuli zao bila vikwazo tuone.