Mzee Museveni juzi amesema ya kwamba yeye HANA uchu wa madaraka SEMA tu Waganda ndio wanataka aendelee kuwa Rais wao na ndio maana wanamchagua Kila uchaguzi! Ahahahahaha!!!
Angekuwa hana uchu wa madaraka asingemtesa dr Besigye mpaka mzee wa watu ameamua kutulia asijekufa kabla ya wakati wake. Wala asinge mvunja mifupa Boby wine.
 
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Sasa ccm utawatoa kwa uchaguzi? Hivi unaamini mtu anaweza kupita kwenye Jimbo au kata bila kupingwa kwa karne hii?
 
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Jiulize ni kwanini ccm iko madarakani ni kwa sababu inapendwa


Ukipata jibu Utakuwa umeelewa kwa nini Viongoz Africa ni vigumu kuondolewa kwa kura
 
Sasa mijizi kama hii kwa demokrasia utaitoaje
 

Attachments

  • VID-20230901-WA0003.mp4
    2.2 MB
  • VID-20230901-WA0002.mp4
    14.7 MB
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Kwa ujumla mtu MWEUSI anamatatizo makubwa sana ya kiakili, hebu fikilia mtu upo madarakani kwa zaidi ya miak 20 na bado unang'ang'ania madaraka kwa kutengeneza mifumo mibovu ya Kipolisi, Tume ya uchaguzi, vikundi vidogovidogo vya wakereketwa wanaonufaika kiasi.

Kwa namna hiyo inafikia mda hata Jeshi linaona huu ni ujinga naniupumbavu mkubwa, ndio maana hata wananchi yanapotokea mapinduzi hushangilia sana. Watawala wengi huzigeuza Nchi zao kuwa mali yao binafsi na wengine kubaki kama manamba kwenye Nchi zao.
 
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Mwamba huyu hapa 👇

View: https://www.instagram.com/p/Cwps_iQqHZZ/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Kuna mwingine uganda....yeye Alisha sema wazi wazi......yeye ni kotapini Ile ya kwenye baiskeli...kotapini Huwa inaingia Kwa kugongelewa na nyundo...pia utokaji wake ni Kwa kuigonga....Huwa kotapini haitokagi kirahisi rahisi....
Kauli sio kutoka uganda bali kwa jirani yake.

-kwingineko, kiongozi alipata kusema nchi ilipatikana kwa vita haiwezi kukabidhiwa kwa makaratasi
 
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?


Kama kweli huna majibu, basi hukupaswa hata kujua kuandika, siwezi jibu swali la hovyo namna hii.
 
Back
Top Bottom