Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
21,443
40,537
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
 
Walianza Burkinafaso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.

Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.

Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.

Tatizo ni nini Kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi??
Mbowe bila kupinduliwa ataachia madaraka?
 
Asili ya mwanadamu anapenda kusikia jambo baya kuliko zuri.
Mwanadamu akisikia jambo baya atalifuatilia kwa kalibu kuliko akisikia jambozuri. Hasa kwa sisi watu weusi , maana naona bado mtu mweusi anachembechembe za usokwe.

Mtu mweusi akishika wadhifa anaona ote wajinga.anakosa hofu, huruma, ustaalabu, anajiona yeye ndio anaakili kuzidi wengine ote.
Kwa ufupi bado tupo primitive.
 
Kuna mwingine uganda....yeye Alisha sema wazi wazi......yeye ni kotapini Ile ya kwenye baiskeli...kotapini Huwa inaingia Kwa kugongelewa na nyundo...pia utokaji wake ni Kwa kuigonga....Huwa kotapini haitokagi kirahisi rahisi....
Raisi wa Uganda yupo vizuri sema tu shida ni kumezeshwa siasa za western kwamba kiongozi akikaa madarakani mda mrefu basi ni dikteta
 
Mamlaka za kiraia zikishindwa last resolution ni jeshi kutwaa madaraka na kuongoza mapito ya ku reform taasisi za kiraia ili ijiongoze inavyopaswa.

Wakubwa wengi kama USA hawapendi mapinduzi ya kweli sababu walio madarakani huwa ni vibaraka wao.
 
Back
Top Bottom