ommy gm
Member
- Aug 22, 2018
- 39
- 120
Hajakulia usukumani amelelewa na mama kaskazini achana na kupiga hata kufoka hawezi kwa hiyo huwa sitamani hata kumkwazaKwanza kabisa nashukur sana na wewe hongera nyingi? Ila wasukuma wakorofi sana huyo jamaa ni msukuma kweli???
Nishafika Tabora kwa wasukuma wale wamama walitupikia vyakula vingi makuku kwa manyama, cha kushangaza waliteleta vyote tukala tulivyomaliza tukawapelekea wale wamama wale yale makombo, kwa kweli sikupenda hata kidogo. Alafu baba mkwe ukikutana nae njiani unampigia magoti anazungumza weee mwisho akiondoka ndio unaamka, kwa kweli sijapenda pia
Ukiona mtu ana amani na upendo hata wawe masikini watakuwa na furaha sana. Usibadilike na ukaanza mambo mabaya kwa msukuma wako. Ila niambie basi ex alikufanyaje??????????
Uongo dhambi sina ex sababu alinianza nikiwa kidato cha pili akanioa baada tu ya matokeo ya kidato cha 4 niliolewa mapema
]