Kwaheri Lowassa, kwaheri CHADEMA...

Linamo sisiem ingelikuwa inatekeleza sera zake sidhani kama leo tungeongelea maadui 3 tulioambiwa na Nyerere toka uhuru mpaka magufuli anawanadi leo

Kajipange uje tena.

Utakuwa unakurupuka badala ya kufikiri kwanza kabla ya kuandika. Kiwango cha hao maadui kiko vilevile au kimepungua?
 
Last edited by a moderator:
heee kipaji kimegeuka na kuwa taaluma!!! anawatesa huyu mtu hatari. Nasikia hata hamlali siku hizi kazi ni kuumiza akili kupambana naye. tatizo siyo yeye tatizo ni watanzania kuwashtukia na kuamua kudai mabadiliko ya kweli

Huyu hatutesi tunamuonea huruma. Muache kuwasingizia watanzania. Tunataka mabadiliko lakini siyo haya ya kiini macho. Matapishi yenu lambeni wenyewe.
 
Acha siasa za kitoto tuambie ccm watafanya nini kuboresha maisha ya wananchi sio kumsikitikia Lowasa. Baada ya miaka 54 nini kipya kitafanyika sio upuuzi wa kumsikitikia Mgombea.
 
mnajidanganya, lowasa kaja na ilani yake hatofuata hiyo ya Mbowe. Yeye keshamalizana nao hao hawamdai kitu!

Bora uwaambie maana wanajifanya wamevaa miwani ya mbao. Hawana chao chadema imeshauzwa. M4C imemezwa na 4u movement nalo wanajifanya hawalioni.
 
Kusema kweli lowasa amewavunja moyo wanamabadiliko wote sio UKAWA tu hadi wa vyama vingine

Tafadhali Tutoe Sisi Wana CCM Na Baki Na Hao " Wapumbavu Na Malofa ". Kuifananisha CCM Na Hivyo Vyama Vingine Ni Sawa Na Kukifananisha Kisiwa Cha Mafia Na Nchi Kubwa Na Iliyotukuka Kwa Kila Kitu Ya Marekani ( United States Of America ) Nikiwa Na Maana Ya Kwamba Wapinzani Wote Wa Tanzania Ni Sawa Na Kisiwa Hicho Cha Mafia Na CCM Ndiyo Nchi Ya Marekani.
 
Sera zake ni hoi, duh. Haya na nyie wenye Sera za kupandisha twiga ndege, kutuletea div 5, zimeisaidiaje nchi kuondokana na umaskini, acha ushabiki huo cyo mpira
 
Bora uwaambie maana wanajifanya wamevaa miwani ya mbao. Hawana chao chadema imeshauzwa. M4C imemezwa na 4u movement nalo wanajifanya hawalioni.

Vyovyote mnavyoona nyie poa tu.sisi tunataka mabadiliko, mabadiliko na lowasa.
 
Tafadhali Tutoe Sisi Wana CCM Na Baki Na Hao " Wapumbavu Na Malofa ". Kuifananisha CCM Na Hivyo Vyama Vingine Ni Sawa Na Kukifananisha Kisiwa Cha Mafia Na Nchi Kubwa Na Iliyotukuka Kwa Kila Kitu Ya Marekani ( United States Of America ) Nikiwa Na Maana Ya Kwamba Wapinzani Wote Wa Tanzania Ni Sawa Na Kisiwa Hicho Cha Mafia Na CCM Ndiyo Nchi Ya Marekani.

Naona umerudi kuokoa jahazi
 
ni vigumu sana akiri ndogo kuielewa kubwa... hivi unakumbuka uzinduzi wa kampeni CCM mwaka 2005 JK2 alivoongea vizuri na maneno mengi na yenye mvuto? kipi kafanya sasa. I REPEAT CCM nahisi ishalaaniwa so hata ashuke malaika agombee uraisi simpi kura yangu ng'oooo. LOWASA JANA TULIMUELEWA SANA WANA UKAWA.... ILA WANA CCM ndo mnapata shida kuelewa.

wasikilize ACT wewe
 
Utakuwa unakurupuka badala ya kufikiri kwanza kabla ya kuandika. Kiwango cha hao maadui kiko vilevile au kimepungua?

Kimepungua wap?? Hadi leo kipindupindu kinasumbua tena dar!!!!! Je huku vijijin? Hospital hamna dawa maduka ya watu binafsi yana dawa!!!!kodi tunatozwa hadi kwenye sukar inaama hadi watoto wanalipa kodi izo pesa zinaenda wap?
 
Acha siasa za kitoto tuambie ccm watafanya nini kuboresha maisha ya wananchi sio kumsikitikia Lowasa. Baada ya miaka 54 nini kipya kitafanyika sio upuuzi wa kumsikitikia Mgombea.

Inaonekana una stress sana. Nadhani kila kitu kilielezwa na magufuli pale jangwani. Siyo nyie mnaotaka wanachama wenu wakasome kwenye website as if wale mama ntilie,bodaboda, machinga na wale mateja na wanywa viroba waliokuwa pale wana access ya internet. Mkajishtukia mlivurunda mkaenda kuisoma ITV mkiwa mmekaa kumbe tatizo ni afya.
 
Kimepungua wap?? Hadi leo kipindupindu kinasumbua tena dar!!!!! Je huku vijijin? Hospital hamna dawa maduka ya watu binafsi yana dawa!!!!kodi tunatozwa hadi kwenye sukar inaama hadi watoto wanalipa kodi izo pesa zinaenda wap?

Huyo mgombea wenu alikuwa wapi wakati hayo yanafanywa asiyakemee? Poleni sana bado mnasafari ndefu labda mjaribu tena muda mwingine.
 
Nilishangaa baada ya sentensi ya kwanza alivyoanza kuongea Lowassa misururu ya watu ilianza kuondoka kama vile aliyekuwa anaongea aliwatukana, kama kweli Lowassa ana akiri na anasoma alama basi aangalie hilo tukio na ajielewe watu wanamwonaje
 
najua bila kusema jina na lowasa cku kwako hajakamilika cio bure umelogwa toa hoja cio porojo
 
Back
Top Bottom