Yawezekana jamaa alikuwa na madeni siku za nyuma hivyo hajachunguza vyema alichokatwa ni nini, vinginevyo atakuwa muongo na mzushi!Huo ni upotoshaji mkubwa, unless mleta mada aweke risiti ya malipo ili watu wajihakikishie. Kodi ya 50+% sijawahi kuiona.