Kwa wasikilizaji wa Clouds FM the People's Station Mnisaidie hili

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,195
2,056
Aslaam aleikyum wanajamvi,

Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa wanafamilia wote wa CMG kwa kuondokewa na Watu wawili muhimu (Ruge&Kibonde), kazi yake mola haina makosa.

Let me back to the business,kwa waskilizaji wazuri wa Clouds FM lazima watakua wanaijua hii sauti, kuna sauti nzito kama uji na yakitofauti hua inaskika zaidi ya 80% kwenye vipindi vyote vya Clouds FM, sauti ya huyu dingilii inatumika kwenye vipindi vyote iwe kwenye Jingles, Sign tune, Sweeper, Enter programs, Promo nk.

Ata sasahivi sauti yake inaskika sana kuhusu kifo cha kibonde ikisema"Emphraim kibonde wewe ni sura halisi ya utamaduni wa Clouds, Kurasa za Kibs", Jingles na Enter program zake ni 1: Ekstraa Ekstra Laajii. 2: Jahazi la Clouds FM mdogomdogo hadi saa moja. 3: Leeo tenaa. 4: Njia panda na Dr.Isaac Maro

Pia Sweeper zake ni 1: Mbili tano tano, 2: Mastori ya Town, 3: Heka heka Unlimited nk. Pia Frequency zote za Clouds FM katika mikoa yote Tz huzitaja yeye mfano 88.1MHz Clouds.

FMArusha/Mwanza,87.5 MHz Clouds FM Shinyanga,104.4MHz Clouds FM Dodoma. Zamani hii sauti ilikua ikisikika ikisema"CLAAAAUUUUZZZ FM. Naombeni wanajamvi mnijulishe huyu jamaa anaitwa nani na yuko wapi saivi na kwanini hana kipindi pale mawingu?

Asanteni



@ChaliiYaKijengeJuu.
 

Attachments

  • Cmg.jpg
    Cmg.jpg
    15.1 KB · Views: 100
Mbona huenda wewe ndiye msikilizaji makini wa clouds kuliko hata wana jf.
Hapana mkuu kuna siku nilipost kitu kuhusu kipindi cha XXL nikakosea kidogo kitu fulani,Dah watu walinishambulia balaa asee.!hadi nikashangaa kumbe clouds ina listers wengi ivi?!!
 
Mbona huenda wewe ndiye msikilizaji makini wa clouds kuliko hata wana jf.
Hapana mkuu kuna siku nilipost kitu kuhusu kipindi cha XXL nikakosea kidogo kitu fulani,Dah watu walinishambulia balaa asee.!hadi nikashangaa kumbe clouds ina listers wengi ivi?!!
 
Hapana mkuu kuna siku nilipost kitu kuhusu kipindi cha XXL nikakosea kidogo kitu fulani,Dah watu walinishambulia balaa asee.!hadi nikashangaa kumbe clouds ina listers wengi ivi?!!
Uliyumba ulisema walete ilikuwa jiwe la mwezi na pia ukasema dingilii Adam mchomvu alikuwepo wakati sio.
Uliyumba.
 
Kuna member anaitwa askofu tza humu nilikuwa namtag nimuulize.
Ila mzee baba unafatilia sana redio ya watu!

Hivi sosofresh leo hamna?
Yeah meen..nahisi wiki ijayo soso fresh itakua tayari coz ata leo jahazi na Sports Xtra hazijua normal kama zamani sababu ya msiba wa Kibs.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom