CHIMBULI WA CHIMBULI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 468
- 160
- Thread starter
- #21
I never think that could happen to me before na Inaumiza ukikumbuka ulivyokuwa unamjali Sana na kumweshimu.Acha tu ndugu
I never think that could happen to me before na Inaumiza ukikumbuka ulivyokuwa unamjali Sana na kumweshimu.Acha tu ndugu
Hunizidi mm Nahic,.Sasa hivi nmekuwa mwangalifu sana kwny mambo ya mahusiano
Jamaa yako wa sasa umemchunguza kwa muda gani?!Hunizidi mm Nahic,.![]()
![]()
![]()
vingine haviepukiki sema inabidi usiingie mzimamzima Ingia kiungo kimoja kimoja."Moyo sukuma damu si vingine....."
HahahahaYalimtesa na bibi,yalimtesa na babu.....
Mi cjawai kutendwa ila tu mapenz yameniumiza Sana mpenz wangu aliniachia mashimo kwenye mifuko ya shati, pochi na suruali na mm kumkomoa nikamuachia Matundu Makubwa Mbele na Nyuma.
Hunizidi mm Nahic,.![]()
![]()
![]()
Kuna demu nilimpenda yale mapenzi ya kifilipino, deile naimbishwa nyimbo za westlife...
Babeki alichonifanyia.... Dunia simama nishuke
Niko single man,.God is good all da timeJamaa yako wa sasa umemchunguza kwa muda gani?!
Mwili ukiwa tayariiEh..!...mpk lini?!![]()
Mwili ukiwa tayarii![]()
Bado mkuu umri pia unaruhusu kuwa hivi kwa sasa,,Acha uchoyo ww...umri wote huo mwili haujawa tayari?
Hahahahah..how old r u?!Bado mkuu umri pia unaruhusu kuwa hivi kwa sasa,,
Only 24Hahahahah..how old r u?!