MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,425
- 32,006
Basi itoshe kusema kuna upanuzi wa goli. UDSM warudishe marticulation paper ili kuchuja watu.Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.
Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.