Kwa Tanzania, wachekeshaji wengi wameenda shule kuliko waimbaji na waigizaji

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,840
27,763
Ukiachana na 'wadudu', wachekeshaji wengi wameenda shule.

Hii tasnia imeonekana kustawi vema miaka ya hivi karibuni.

Ni katika kutelekeza kaulimbiu ya Serikali yetu ya kuwataka wasomi wajiajiri.

Wasomi wetu baada ya kukosa michongo ya maana wameangukia kwenye vichekesho, wengine wakienda mbali zaidi na kukimbia ajira zao za ualimu (hii ni baada ya mashambulizi ya hasimu wao Mpwayungu Village).

Hii ni kinyume kabisa na waimbaji na waigizaji wa filamu ambapo wengi wao ni vilaza wa kutupwa.

Hongereni sana 'so called jobless graduates' kwa kuiona fursa na kuamua kutuchekesha ili tusahau shida zetu.
 
Sauv at least hii tasnia ina digital comedian ....maaja tz sijui nani aliwaambia kua kua uchekeshe ni uvae mavazi ya kike mara kuvaa mataputapu
 
Ila bado sielewi Mwijaku ni Msanii wa aina gani jambo la ajabu ana wafuasi wa kutosha
Hilo lisikushangaze sana mkuu....imagine mtu ni wa Yanga ila ka follow page ya simba ....lengo ni nini haswa??

Utakuta kuna update anataka azipate tu yupo kwa ajili ya benefits flan sio kua yupo pale intentionally.
 
Back
Top Bottom