Kwa Tanzania kama pesa yako ni ya kuunga unga, usinunue gari zaidi ya Toyota, hii itakuhakikishia a good resale value

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,942
20,077
Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota.

Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani nzuri ya gari yako pale utakapoamua kuiuza.

Kuna watu wapumbavu huwa wanauliza eti kwani unanunua gari ili kuuza? Jibu ni ndio. Mali/asset yoyote unayomiliki iwe gari, nyumba, simu, kutanda, TV nk kazi yake ni 2 tu, kwanza kukupa ama kukidhi hitaji la matumizi yako kwa wakati huo lakini pia ni back yako pale utakapokuwa umeyumba kiuchumi ama kuhitaji mtaji zaidi kwenye shughuli zako na ukaona huna sababu ya kwenda kwenye taasisi za fedha kuchukua mkopo kuendelea na shughuli zako, so zina serve purpose 2 tu.

Siku zote ulichonacho ndio cha kwanza kukusaidia kufanikisha jambo lako.

Sasa kwa ushauri wangu, kama unataka uhakika wa kupata wateja ama kuhakikisha hupotezi sana thamani ya pesa yako(value retention) basi nunua Toyota.

Hizi car brand nyingine nunua ila at your own risk. Nikiwa na maana kwamba zinaweza kuuzika ila resale value yake ikawa ndogo sana kuliko kama ungekuwa na gari ya Toyota.

Karibu Doha, Qatar tuangalie WC.
 
Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota.

Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani nzuri ya gari yako pale utakapoamua kuiuza.

Kuna watu wapumbavu hua wanauliza eti kwani unanunua gari ili kuuza? Jibu ni ndio. Mali/asset yoyote unayomiliki iwe gari, nyumba, simu, kutanda, TV nk kazi yake ni 2 tu, kwanza kukupa ama kukidhi hitaji la matumizi yako kwa wakati huo lakini pia ni back yako pale utakapokua umeyumba kiuchumi ama kuhitaji mtaji zaidi kwenye shughuli zako na ukaona huna sababu ya kwenda kwenye taasisi za fedha kuchukua mkopo kuendelea na shughuli zako, so zina serve purpose 2 tu.

Siku zote ulichonacho ndio cha kwanza kukusaidia kufanikisha jambo lako.

Sasa kwa ushauri wangu, kama unataka uhakika wa kupata wateja ama kuhakikisha hupotezi sana thamani ya pesa yako(value retention) basi nunua Toyota.

Hizi car brand nyingine nunua ila at your own risk. Nikiwa na maana kwamba zinaweza kuuzika ila resale value yake ikawa ndogo sana kuliko kama ungekua na gari ya Toyota.

Karibu Doha, Qatar tuangalie WC.
BMW Mark X, Mercedes Crown, Audi Brevis, VW Noah Voxy, enter the chat...
 
Usisumbukie ya kesho.. Resale value ya kazi gani..!!
Mtumiaji nunua gari roho inapenda.. Resale value waachie wauza magari BeForward..!
Kuza mtaji fikra ziongezeke uwe na uwezo wa kukopesha na sio kukopa uone kama utawaza resale..!
Safi kabisa, toyota toyota sjui resale value yote ya nini?? Yani ununue gari wakati huo huo uwaze kuuza.

Nje ya mada hakuna namba E iliyokula mzinga?
 
Safi kabisa, toyota toyota sjui resale value yote ya nini?? Yani ununue gari wakati huo huo uwaze kuuza.

Nje ya mada hakuna namba E iliyokula mzinga?
We nunua gari upendayo wanaojali thamani ya hela watanunua Toyota. Leo hii tangaza BMW X3 na Toyota RAV 4 kili time zinauzwa uone watu watakimbilia gari ipi! Tena wa humu humu ndani ya uzi. Sema BMW X3 used unauza million 18 na Kili time million 18 uone wengi watakimbilia ipi.
 
We nunua gari upendayo wanaojali thamani ya hela watanunua Toyota. Leo hii tangaza BMW X3 na Toyota RAV 4 kili time zinauzwa uone watu watakimbilia gari ipi! Tena wa humu humu ndani ya uzi. Sema BMW X3 used unauza million 18 na Kili time million 18 uone wengi watakimbilia ipi.
Jibu unalo watakimbilia kwenye resale value mkuu . Mimi nanunua gari niipendayo just like I've said. Na sinunui ili niuze nanunua nifanyie mambo yangu. Hapo vipi
 
Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota.

Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani nzuri ya gari yako pale utakapoamua kuiuza.

Kuna watu wapumbavu huwa wanauliza eti kwani unanunua gari ili kuuza? Jibu ni ndio. Mali/asset yoyote unayomiliki iwe gari, nyumba, simu, kutanda, TV nk kazi yake ni 2 tu, kwanza kukupa ama kukidhi hitaji la matumizi yako kwa wakati huo lakini pia ni back yako pale utakapokuwa umeyumba kiuchumi ama kuhitaji mtaji zaidi kwenye shughuli zako na ukaona huna sababu ya kwenda kwenye taasisi za fedha kuchukua mkopo kuendelea na shughuli zako, so zina serve purpose 2 tu.

Siku zote ulichonacho ndio cha kwanza kukusaidia kufanikisha jambo lako.

Sasa kwa ushauri wangu, kama unataka uhakika wa kupata wateja ama kuhakikisha hupotezi sana thamani ya pesa yako(value retention) basi nunua Toyota.

Hizi car brand nyingine nunua ila at your own risk. Nikiwa na maana kwamba zinaweza kuuzika ila resale value yake ikawa ndogo sana kuliko kama ungekuwa na gari ya Toyota.

Karibu Doha, Qatar tuangalie WC.
Uko sahihi kabisa una nunua gari na huwezi kupata spea yake hadi uagize nje ya nchi
 
Usisumbukie ya kesho.. Resale value ya kazi gani..!!
Mtumiaji nunua gari roho inapenda.. Resale value waachie wauza magari BeForward..!
Kuza mtaji fikra ziongezeke uwe na uwezo wa kukopesha na sio kukopa uone kama utawaza resale..!
Ni ngumu kuelewa kama huna abc za masuala ya fedha.

Ni utaahira kumiliki mali ambayo haiongezeki thamani ama ambayo thamani yake inaweza kuanguka ghafla na ukapata hasara kama sio kufilisika.

Hebu tuangalie upande mwingine angalau kupanua akili yako, assume usinunue gari ukanunua hisa za kampuni, je utanunua hisa za kampuni ambayo hisa zake haziuziki ama baada ya kununua zikashuka thamani kubwa na ukaapata hasara? Jibu liko obvious huwezi kufanya hivyo.

Kwa mantiki hiyo, hisa zina tofauti gani na gari? Zote ni mali zako ila ziko katika mitindo/forms tofauti tofauti. Mali ama assets ziwe cash ama liquid assets, majengo, gari, ardhi nk zote kazi yake ni moja tu, unaziweka ziongezeke ama zisipoteze thamani sana ukaja kupata hasara.

Elon musk tajiri namba moja Duniani alichukua mkopo kwa ajili ya kununua twitter kwa kutumia hisa zake za tesla, sasa kama hisa hizo zingekua zimeshuka thamani nani angempa mkopo kwa hisa zisizo na thamani?

Hii ni common sense tu, uamue uitumie ama lah ni maamuzi yako.
 
Uko sahihi kabisa una nunua gari na huwezi kupata spea yake hadi uagize nje ya nchi
Watanzania wengi tuna attitude ya kutaka kuonekana tuko rich wakati ni makapuku 😂 matokeo yake ndio kujitutumua.

Gari za Toyota kuanzia 2015 ziko equipped na Safety features na preventive maintanance package ya Toyota Sense. Ina driver assistance kama lane departure, auto beams, Kdss, pedestrian sensors, 360 view na makorokoro kibao.

Tatizo tunanunua Rav 4 massawe za mwaka 1998 halafu tunataka kuzi compare na gari za 2009 yani miaka 10 mbele.
 
Ni ngumu kuelewa kama huna abc za masuala ya fedha.

Ni utaahira kumiliki mali ambayo haiongezeki thamani ama ambayo thamani yake inaweza kuanguka ghafla na ukapata hasara kama sio kufilisika.

Hebu tuangalie upande mwingine angalau kupanua akili yako, assume usinunue gari ukanunua hisa za kampuni, je utanunua hisa za kampuni ambayo hisa zake haziuziki ama baada ya kununua zikashuka thamani kubwa na ukaapata hasara? Jibu liko obvious huwezi kufanya hivyo.

Kwa mantiki hiyo, hisa zina tofauti gani na gari? Zote ni mali zako ila ziko katika mitindo/forms tofauti tofauti. Mali ama assets ziwe cash ama liquid assets, majengo, gari, ardhi nk zote kazi yake ni moja tu, unaziweka ziongezeke ama zisipoteze thamani sana ukaja kupata hasara.

Elon musk tajiri namba moja Duniani alichukua mkopo kwa ajili ya kununua twitter kwa kutumia hisa zake za tesla, sasa kama hisa hizo zingekua zimeshuka thamani nani angempa mkopo kwa hisa zisizo na thamani?

Hii ni common sense tu, uamue uitumie ama lah ni maamuzi yako.
Tumia hela ikuzoee nayo ni abc ya maswala ya fedha..!

Elon Musk haendeshi Toyota.. Yupo na chuma za Kijerumani..
Naye hana abc za fedha..!!!
 
Pesa yangu ni ya kuunga unga na nina miliki mazda cx 5, na nina suzuki swift pia ya 2003 na cjawahi kujutia hata siku moja hizo ni mentality tu za kusema gari flani zinasumbua acheni kupotosha watu na kuwatia uwoga
 
Ila Kwa siku za hivi karibuni BMW 320i na Volkswagen Tiguan zipo nyingi Sana mtaani hata Volkswagen Tuareg V6 zinauzika Sana Sidhani kama magari haya utashindwa kupata wateja...
Miaka ya nyuma ilikuwa ngumu kuona Subaru forester mtaani kila MTU alikuwa anaogopa kununua kwasababu ya ukosefu na mafundi na spare parts ghali lkn hivisasa ndiyo gari number 1 trending kwenye mtandao wa be forward na watanzania wamenunua kwelikweli.

Toka 2015 kuja juu soko la magari limebadilika Tanzania sikuhizi watu wanajilipua Tu na ndinga za ulaya na maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom