General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,061
Najua sasa grafu ya magufuli ipo kaenye log phase, kaanza kwa kasi mnoo, ila tunavyojua kawaida ya nature kwamba ukianza na spiidi kubwa utaona unaishia pabaya, mbaya zaidi end au mwisho unakuja kwa spidi vilevile
Tunasubiri stationary phase ambayo inakaribia soon na hapo ndipo tutaangalia kama ataweza maintain, akijikwaa tuu kazi imekwishaa, grafu ya ukawa inaanza kupaaaa
Tunasubiri stationary phase ambayo inakaribia soon na hapo ndipo tutaangalia kama ataweza maintain, akijikwaa tuu kazi imekwishaa, grafu ya ukawa inaanza kupaaaa