Kwa nini kila mwanaume anapenda mwanamke mzuri?

Sababu watamu, ukimwangalia usoni usonunavutia unakuchochea hamu ya kuendelea kujig siyo sura kama kakandikwa na unga wa ulezi wa kupikia uji
 
Mm namtaka mwanamke mwombaji katika roho na kweli ndo kigezo one then awe wa kabila langu mengine sio vipaumbele kwangu ila kua na mvuto no constant
 
Watu wote wameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu hivo uzuri wao wafanana na uzuri wa Mungu. Koma kabisa kusema huyu mzuri yule mbaya
Kuna wanawake visu acha kusema hivyo tembeo une mengi unaweza kusema kwanini nilioa mapema.
 
Nadhan kila mtu anapenda kitu kizuri,co mke tu hata gari,nyumba na vingne vingi ili vikupe faraja maishani,huwezi ukaoa mke sura imepinda kama karamba ndimu watu watakubeza sana
 
Back
Top Bottom