Kwa miaka 10 iliyopita sijaona mtu anayeongoza kwa kuishi maisha ya Anasa, Starehe na Gharama ya hali ya juu ulimwenguni kama huyu mwamba

MwananchiOG

JF-Expert Member
Apr 4, 2023
2,239
4,475
Huenda kuna matajiri ulimwenguni waliopo na waliopata kuishi, kama kina Mobutu seseko, Kina King khan, Bill gates, Elon musk nk. Pia wapo matajiri wa mafuta huko Saud Arabia na watoto wa mabilionea kama Prince of Saud Arabia nk. Pia wapo celebrities wenye uwezo mkubwa kifedha wanaomiliki Lavish sport cars, Private jets, Private Yachts kama kina Christiano Ronaldo, Lionel Messi, Jay z, Kanye west, Kardashians nk.

Pamoja na wote hao, na kwa nyakati tulizopo bado sijaona mtu anayeishi maisha ya Starehe (Lavish Lifestyle) na Carefree Life kama Mwamba mmoja anayejiita DAN BILZERIAN.

Huenda ukapinga kwa hoja mbalimbali kwamba wapo wenye pesa na wanaofanya starehe zaidi yake, Lakini ukiangalia mtu kama Bill gate, Elon Musk, Mark Zuckerberg nk. Muda mwingi wanafanya kazi na hawawezi kamwe kuishi free life muda wote wanamulikwa na camera na wapo na walinzi (security) na mara nyingi focus zao zipo katika biashara na nafasi zao katika jamii/serikali. Same to Christiano Ronaldo, Messi, Jay z nk. Wote hawana muda mwingi wa starehe, muda mwingi aidha wanacheza soka au wanatengeneza mziki nk.

Ila huyu mwamba 24hrs/Week yupo katika Starehe 😀, Nimejaribu kugoogle details zake anafanya shughuli gani, Inasemekana ni mcheza kamari maarufu.Mwamba muda wote yupo kwenye starehe 😀

Unaweza kumtafuta Instagram anaitwa DAN BILZERIAN
 
DANIEL BRANDON BILZERIAN

LIFE AND CAREER:
Daniel Brandon Bilzerian was born on December 7, 1980, in Tampa, Florida.
He is the son of Paul Alec Bilzerian, a businessman.

He served in the US Navy for four years and attempted SEAL training.
He earned a Bachelor of Arts degree in Business and Criminology from the University of Florida.

BUSINESS VENTURES AND SOCIAL MEDIA:
He is a venture capitalist and has business interests in various industries, including real estate, oil, and entertainment.

He gained fame for his social media posts documenting his lavish lifestyle, which include private jets, yachts, cars, and exotic locations.

He has millions of followers on platforms like Instagram, X and Facebook, where he shares his extravagant lifestyle.

He founded Ignite International Brands Ltd., which produces and sells a range of products including electronic cigarettes, CBD oils, and apparel.

CONTROVERSIES:
Despite his fame and wealth, Bilzerian has faced criticism for his lifestyle and social media persona.

He has been accused of promoting a lifestyle that some find irresponsible and harmful, particularly among younger audiences.

NET WORTH:
Dan Bilzerian has a net worth of $310 million.
 
Futa huu uzi kama mmekosa picha yake kubafu
Screenshot_20250419-155727_Instagram.jpg
Screenshot_20250419-155700_Instagram.jpg
Screenshot_20250419-155745_Instagram.jpg
 
DANIEL BRANDON BILZERIAN

LIFE AND CAREER:
Daniel Brandon Bilzerian was born on December 7, 1980, in Tampa, Florida.
He is the son of Paul Alec Bilzerian, a businessman.

He served in the US Navy for four years and attempted SEAL training.
He earned a Bachelor of Arts degree in Business and Criminology from the University of Florida.

BUSINESS VENTURES AND SOCIAL MEDIA:
He is a venture capitalist and has business interests in various industries, including real estate, oil, and entertainment.

He gained fame for his social media posts documenting his lavish lifestyle, which include private jets, yachts, cars, and exotic locations.

He has millions of followers on platforms like Instagram, X and Facebook, where he shares his extravagant lifestyle.

He founded Ignite International Brands Ltd., which produces and sells a range of products including electronic cigarettes, CBD oils, and apparel.

CONTROVERSIES:
Despite his fame and wealth, Bilzerian has faced criticism for his lifestyle and social media persona.

He has been accused of promoting a lifestyle that some find irresponsible and harmful, particularly among younger audiences.

NET WORTH:
Dan Bilzerian has a net worth of $310 million.
Duh muda wa kusimamia hizo biashara na projects zake anatolea wapi?? Muda wote ni bata na wanawake tu
 
Kuna Mwarabu mmoja muhuni muhuni anamiliki kampuni moja ya ndege, huwa analeta wasichana kutoka Ulaya Mashariki wanafika 20, wakifika bongo wanakodi ndege wanaenda huko Mbugani wanaume wakiwa wawili tu....kuna watu wanafanya ufirauni aisee.
Dooh,. Na ndio wanachokifanya,. Utakuta mabinti 6 au 8 na yuko mwenyewe anaswampa nao kila mahali,.
Huwa najiuliza maanake wakitaka kunjunjana wanafanya kwa zamu au ni kwajili ya kampani tu sio mambo mengine
 
Back
Top Bottom