bobby dolat
Senior Member
- May 18, 2015
- 167
- 263
Yeah man i also feel sorry for the victims it's quite painfulMy heart goes to the victims. But I do believe some brothas were simply born to be played, it's their fate. Whether College girls, high school girls, social media girls, club girls, groupie kinda girls, church girls, you name 'em.
Some brothas even get played by the type that ain't no playing type, while other brothas roll comfortably with the type that play, and never get played.
Yaani kwa kweli mabinti wa chuo ni kichefu chefu sana sishauri mtu aende huko kabisa labda kama ni kujipumzisha tuMleta mada una point nzito. Hawa mabinti wa siku hizi asilimia kubwa hawana UTU. Hayo matukio ya kupanga wanaume yapo sana tu. Unaweza kukuta binti mmoja ana midume mpaka mitano. Na kila mtu anapangwa kwa nafasi yake akijua yuko peke yake. Kuna Mzee mmoja ni Bosi mkubwa wa Benki moja hapa mjini alikuja kugundua anatafuna msichana mmoja na kijana wake wa kumzaa. Na dogo alimzimikia Demu kiasi cha kwenda kumtambulisha home ndio issue ikapasuka. Hawa mabinti wa Chuo hawana UTU...afadhali upate mwanamke anayejitambua wa Makamo.
Ni kweli kabisa lakini mkuu mtu unaanzaje kumuitia mtu mwizi huku ukijua implication yake kwamba atauawaNadhani dawa sio kuacha kudate wasichana wa chuo dawa ni kudeal na hawa watu wanaokurupuka na kuanza kumtoa mtu roho kisa kaitwa mwizi pasipo kumchunguza kwanza kama tuhuma huzo zina ukweli
Good for youHuko nmetoka cku nyingi sana
Nadhani dawa sio kuacha kudate wasichana wa chuo dawa ni kudeal na hawa watu wanaokurupuka na kuanza kumtoa mtu roho kisa kaitwa mwizi pasipo kumchunguza kwanza kama tuhuma huzo zina ukweli
Ni kweli kabisaSiku zote nasema
Age 18-24 usiguse, na zaidi awe chuo. Lasivyo jiandae kwa lolote. Nakaa chuo ni staff na nyumba yangu iko barabarani kuelekea hostel. Ninayoyaona ni makubwa na mazito hayasimuliki kias kwamba ukiambiwa huwezi amini.
Rai kwa wanaume wenzangu, acha kuwekeza kwa watoto wa chuo, subiri wamalize watakukuta huko. Akisharudi mtaani akili huwa zinawarejea utafikiri shadidu za rejea.
Dont touch, watoto wadogo lakini range zinazowabeba ni za wazee na waheshimiwa ambaxo ukiambiwa lazima uzimie siku tatu.
after all kitu ni kilekileNyie endeleeni na hao wana vyuo sisi wengine tuna deal na mama lishe, house girls, na watu wa kada hizo. Huko tutakuja na monopoly power