Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

Watanzania tuna shida sana, tunamchangia kwani sasa hivi anatumia gari gani? Huyu ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatumia gari la ofisi.
Akishinda ubunge atanunua jingine, akiwa rais ndio kabisa atakuwa nayo ya kutosha kwanini tunachanga ghafla hivi, kaomba gari au ni huruma ya watanzania tu?
 
Watanzania tuna shida sana, tunamchangia kwani sasa hivi anatumia gari gani? Huyu ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatumia gari la ofisi.
Akishinda ubunge atanunua jingine, akiwa rais ndio kabisa atakuwa nayo ya kutosha kwanini tunachanga ghafla hivi, kaomba gari au ni huruma ya watanzania tu?
Kwani umelazimishwa? mbona juzi mmechanga form ya uRais na hulalamiki?
 
Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.

Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!

View attachment 2993927

Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini

View attachment 2994064
Huu ndo upumbavu wa Watanzania, tuna matatizo kibaaao lkn hatuchangi pesa kuyatatua halafu tunakwenda kumchangia mwenye nacho.
 
Back
Top Bottom