Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,882
- 41,968
Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Rais Samia ndivyo alivyokuambia hivyo? Kwa nini unapenda kuwa mwongo?
Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Kwamba Samia alitoa hizo hela kozimkazi siyo?Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Inawauma snSi walimchangia Samia hela ya kuchukua fomu ya u raisi hawa?? 😂 😂 😂 Wabongo wanaendekeza uchawa na roho mbaya tu
Kwani umelazimishwa? mbona juzi mmechanga form ya uRais na hulalamiki?Watanzania tuna shida sana, tunamchangia kwani sasa hivi anatumia gari gani? Huyu ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatumia gari la ofisi.
Akishinda ubunge atanunua jingine, akiwa rais ndio kabisa atakuwa nayo ya kutosha kwanini tunachanga ghafla hivi, kaomba gari au ni huruma ya watanzania tu?
Bado haja donateNina uhakika kutakuwa na mchango wa Mheshimiwa Raisi wetu pia hapo!
Huu ndo upumbavu wa Watanzania, tuna matatizo kibaaao lkn hatuchangi pesa kuyatatua halafu tunakwenda kumchangia mwenye nacho.Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Wanataka tuendelee kununua magoliRoho mbaya wanaumia sana
Hahaha MkuuWanataka tuendelee kununua magoli
Mungu awajaalie wapate hela na wachangieKuna watu wanashabikia hapa na hawajatoa hata mia😅😅
Apate wapiHatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
Changia na wewe bana😅Mungu awajaalie wapate hela na wachangie
Mimi nasubiri mniambie bei gani imesalia nijazieChangia na wewe bana😅
Nani sasa akwambie? 😅😅Mimi nasubiri mniambie bei gani imesalia nijazie
si wewe unayejua waliochangia na kiasi chao!Nani sasa akwambie? 😅😅
Mi najuaje? Wewe ndo chawa namba moja wa Lissu unapaswa kujuasi wewe unayejua waliochangia na kiasi chao!
Basi hayaMi najuaje? Wewe ndo chawa namba moja wa Lissu unapaswa kujua
Mchango siyo lazima, hakuna shiruti hapo uchangeHii ni another scheme za kuwakamua wanachama wenu bila kujijua. Mlianza na Join The Chain na sasa hivi mumetumia kisingizio cha Makamu Mwenyekiti wenu. Anyway usimuamshe aliyelala