Kwa maoni haya ya Raia wa Afrika Kusini, bora Zuma asingetia mguu Tanzania

Hayo ni maoni ya mtu mmoja, na ana haki hiyo lakini katika dhana ya south-south cooperation ziara ya Rais itaweza kuleta matunda chanya tofauti na maoni yake.


mbona maoni ya polepole huwa mnayaita maoni ya chama?
 
Naomba mmoja ajitokeze anitafsirie kwa kiswahili fasaha samani....
 
Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetuView attachment 508585
Hana akili huyo, yeye anadhani nchi tajiri au zenye uwezo zinaweza kusimama peke yake hapa duniani bila kujenga mahusiano mema na nchi zingine, haoni Marekani, China, n.k zinakuja hadi huku afrika kujenga uhusiano na nchi zetu?
Viwanda vyao vitapata wapi malighafi, masoko ya bidhaa, n.k.
Afrika Kusini nchi tuliyoilea wenyewe hadi ikafanikiwa harakati zake, raia anayejitambua hawezi kuidharau Tanzania.
 
Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetuView attachment 508585
Hayo ni maoni ya wazungu wachache wenye mtizamo hasi .Kama kweli ni rais halis wa south Africa hawezi kutoa comment za kipumbavu kama hizo.Hata Mandela marehemu nchi ya kwanza kutia mguu baada ya kutoka jela 1990 ni Tanzania
 
Hawa ni wale watoto wa kikaburu waliozaliwa miaka 1990 kuja 2000.

Hawa ni watoto wa smartphone, kizazi cha umri wa kina Diamond na madogo wa wasafi lakini ni wazungu wa kule SA.

Huwezi kuwalaumu kwa sababu wanayo haki ya kuiongelea nchi yao kadri wanavyotaka kuiona ikifanikiwa kimataifa.
 
Hayo ni maoni ya wazungu wachache wenye mtizamo hasi .Kama kweli ni rais halis wa south Africa hawezi kutoa comment za kipumbavu kama hizo.Hata Mandela marehemu nchi ya kwanza kutia mguu baada ya kutoka jela 1990 ni Tanzania
Babu za hao madogo ndio wale wazungu waliokuwa wakiwaua na kuwatesa waafrika wa kule SA. Ni wazungu fulani wenye roho mbaya na ukijichanganya ukaingia kwenye anga zao wanakufanyia mbaya kabisa.
 
Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetuView attachment 508585

Jina la mwandishi ni la kikaburu, unategemea mtu kama huyo ataandika nini? Watu weusi wa Africa kusini hakuna anaye weza kuwa na ubavu wa kusema Tanzania ni insignificant Country - bila ya msaada kutoka Tanzania wenyeji wa South Africa uhuru wangekuwa wanausikia kwenye Redio na luninga. Wakati mwingine tuwe tunachuja comments zinazo tolewa na Mataifa mengine tusiwe tunazi copy raw kwa malengo ya kisiasa au kutaka kubeza current administration sioni sababu za msingi za kuleta thread hii jamvini.
 
Mwenye maoni kama hayo ni kilaza mkubwa au ni Kaburu mwenye siasa kali, maana wapo sana. Ulaya, Marekani na China wanajua kuwa Tanzania matters a lot economically kwa sababu inazo natural resources nyingi na investment opportunities. Isitoshe, ingawa sasa hivi politically and diplomatically Tanzania imekuwa paper tiger, nchi za kusini mwa bara la Afrika bado kuna watu wanaenzi historia. Changamoto kwa Watanzania, uongozi mahiri uliifanya nchi hii kuwa giant with proud and confident citizens.
 
Back
Top Bottom