Kwa kiwango cha Omar pa Jobe na Fred Michael, hata mimi enzi zangu nakiwasha ndondoni hawakunifikia, ila bahati iko kwao

Feb 9, 2024
42
80
Habari wadau, nawatazamaga hawa jamaa wawili strikers wa simba sc, hata siwaelewi, kipindi hiki tunakuwaje na viongozi wa kubahatisha kwa upande wa uteuzi wa wachezaji!!! Unawezaje kutuaminisha fred na jobe na proffessional players ilhali kiwango chao ni zero? Hapana, hapa tumepigwa na kitu chepesi, ingekuwa kitu kizito tungesema tumekata motona kukata kauli, lakini hata mtoto wa nursery anaona vitimbi wa hawa jamaa, viongozi, Mungu anawaona. Mjitafakari kabla ya mambo hayajazidi kuharibika.
 
Screenshot_20240402-120017.jpg
 
Habari wadau, nawatazamaga hawa jamaa wawili strikers wa simba sc, hata siwaelewi, kipindi hiki tunakuwaje na viongozi wa kubahatisha kwa upande wa uteuzi wa wachezaji!!! Unawezaje kutuaminisha fred na jobe na proffessional players ilhali kiwango chao ni zero? Hapana, hapa tumepigwa na kitu chepesi, ingekuwa kitu kizito tungesema tumekata motona kukata kauli, lakini hata mtoto wa nursery anaona vitimbi wa hawa jamaa, viongozi, Mungu anawaona. Mjitafakari kabla ya mambo hayajazidi kuharibika.
Ahmed Ally atakuja kuwapasua vifua.
Fred magoli
Jobe the porcher.
 
Habari wadau, nawatazamaga hawa jamaa wawili strikers wa simba sc, hata siwaelewi, kipindi hiki tunakuwaje na viongozi wa kubahatisha kwa upande wa uteuzi wa wachezaji!!! Unawezaje kutuaminisha fred na jobe na proffessional players ilhali kiwango chao ni zero? Hapana, hapa tumepigwa na kitu chepesi, ingekuwa kitu kizito tungesema tumekata motona kukata kauli, lakini hata mtoto wa nursery anaona vitimbi wa hawa jamaa, viongozi, Mungu anawaona. Mjitafakari kabla ya mambo hayajazidi kuharibika.
Hivi ni nani aliesajili hawa watu? Unajua ni mambo ya kushangaza sana!
 
Back
Top Bottom