BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,349
- 5,789
Acha uoga kopa japo kidogo angalau 20m, kwa sababu inaonekana kipato chako ni kikubwaMiaka 2.
Mikopo naiogopa sana kwa sasa
Acha uoga kopa japo kidogo angalau 20m, kwa sababu inaonekana kipato chako ni kikubwaMiaka 2.
Mikopo naiogopa sana kwa sasa
Bado sijaona ulazima wa kukopa kwa sasa, labda siku za usoni na siombei hilo litokee sababu mikopo inaumiza kwa muda mwingine kwa mtu ambaye hajainuka kiuchumi.Acha uoga kopa japo kidogo angalau 20m, kwa sababu inaonekana kipato chako ni kikubwa
Mkuu acha woga vuta hata 15M hapo hutojutia...tena ukipata mikopo ya wafanyakazi hii mbona unaenjoy kabisa nyumba unaiona ileeee...Miaka 2.
Mikopo naiogopa sana kwa sasa
Mkuu...kweli Duniani wawili wawili...Heri za Sikukuu wana jamvi.
Mwaka ndio huo umekatika, presha imeanza kupanda na kushuka kwa kuukabili mwaka ujao.
Kwa upande wangu ninapla kuukabili mwaka ujao mapema iwezekavyo kwa kazi ya kuushtua ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Nyumba itakayokuwa na vyumba 4:
Chumba cha kwanza Master, hiki naplan kiwe na ukubwa wa kutosha maana ndio kitakuwa cha Baba/Mama mwenye nyumba. Humo angalau pawe na nafasi ya kuweka kabati la nguo, meza kwa ajili ya mambo ya kawaida kama kujisomea, dressing table n.k
Chumba cha Pili, kitakuwa cha wageni wa jinsia kike, hiki hakuna haja ya kuwa master. Watatumia public toilet/washaroom
Chumba cha tatu, kinaweza kuwa master/ sio master, kitatumiwa na watoto pamoja na msaidizi wa kazi(Dada). Hiki mnaweza kunishauri zaidi namna kiwe na sifa zipi.
Chumba cha nne, kitakuwa sio master, kwa ajili ya watoto wa kiume na wageni wa kiume.
Sifa zingine za nyumba:
-Sitting room yenye ukubwa wa kutosha
-Dinning, yenye ukubwa wa kawaida tu maana sio ya kukaa sana, watu watakaa Sitting room.
-Jiko, chenye nafasi cha kuweza kuweka vitu muhimu vya humo jikoni au niseme vitu vya kisasa.
- Store
-Public toilet/washroom.
Location ni Dodoma.
Karibuni kwa mawazo na ushauri!
Bro usiogope mim nimejenga vyumba 3 ila nyumba kubwa san, saiv najipana na usafNakubaliana na wazo lako la kutoa kuwa muumini wa nyumba kubwa, ila hili wazo lako naona linawafaa zaidi watu ambao tayari wana familia zilizosimama na wala si yule anayeanza au yuko mwanzo wa kujenga Familia.
Kuanzia sasa hadi mtoto wa kwanza aje aanze kujitegemea itapita miaka 25, sasa wakati akiwa nyumbani unataka tubanane kwenye nyumba ndogo maana atakuwa na wenzio pia(watoto wenzake), hili suala la kubaba ndio silitaki.
Nimeplan kujenga nyumba ya kueleweka then ishu ya kujenga iishe na zifuate issue zingine za maendeleo.
Kila mtu ana plan zake, hivyo hizi ndio plan zangu
Mkuu, boma bila hata kupaua ndio likale milioni 25 😳😳Vyumba vinne hapo boma tu litakula;
20M (For best quality housing)
15M (for standard quality)
10M (for poor quality)
Ila kwa maelezo yako nazan unataka kitu quality so ni wewe uamue unajenga vipi
I'm talking from experience
Inategemea na ukubwa wa nyumba na ujenzi huo unafanyika mkoa ganiHeri za Sikukuu wana jamvi.
Mwaka ndio huo umekatika, presha imeanza kupanda na kushuka kwa kuukabili mwaka ujao.
Kwa upande wangu ninapla kuukabili mwaka ujao mapema iwezekavyo kwa kazi ya kuushtua ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Nyumba itakayokuwa na vyumba 4:
Chumba cha kwanza Master, hiki naplan kiwe na ukubwa wa kutosha maana ndio kitakuwa cha Baba/Mama mwenye nyumba. Humo angalau pawe na nafasi ya kuweka kabati la nguo, meza kwa ajili ya mambo ya kawaida kama kujisomea, dressing table n.k
Chumba cha Pili, kitakuwa cha wageni wa jinsia kike, hiki hakuna haja ya kuwa master. Watatumia public toilet/washaroom
Chumba cha tatu, kinaweza kuwa master/ sio master, kitatumiwa na watoto pamoja na msaidizi wa kazi(Dada). Hiki mnaweza kunishauri zaidi namna kiwe na sifa zipi.
Chumba cha nne, kitakuwa sio master, kwa ajili ya watoto wa kiume na wageni wa kiume.
Sifa zingine za nyumba:
-Sitting room yenye ukubwa wa kutosha
-Dinning, yenye ukubwa wa kawaida tu maana sio ya kukaa sana, watu watakaa Sitting room.
-Jiko, chenye nafasi cha kuweza kuweka vitu muhimu vya humo jikoni au niseme vitu vya kisasa.
- Store
-Public toilet/washroom.
Location ni Dodoma.
Karibuni kwa mawazo na ushauri!
Hata mm nimepata shock humu kama hujui nyamazq ujifunze hyo ni tofali 5500 mpk 6000 kwengine sitaki kuingiamkuu room 4 ujengee tofar 3500? sirias
utumie cement 100 sirias, unajenga ama unapaka paka cement.
kwa maelezo ya mtoa mada nyumba yake inataka SPACE yaan room kubwaa, siting ilioshiba
Kwenye mazingira kama ya Chanika,Mlandizi au Bagamoyo kwenye aridhi ya kichanga isiyozalisha nyufa Mil 25 Iinatosha kujenga na kupaua.. maana hauhitaji nondo nyingi km unajenga kwenye maeneo yenye udongo wa kinongo.JF tunazidiana uwezo. Kuna mtu million 25M ni hela ya msingi mpaka finishing. Mwingine in pesa ya boma na kupaua. Mwingine ni pesa ya boma. Mwingine 25m, hata msingi haitoshi. Ndo maana kila mtu ana Ushauri wake.
Ukichangia nyuzi za ujenzi na magari humu JF, siku zote weka angalizo kwamba unachangia kulingana na kipato chako. Kuna watu mpaka adundulize aipate hiyo 25m ni shughuli pevu sana. Unadunduliza kununua gari ya 25m, wakati kwa wengine hiyo hata ushuru haitoshi. Ndo uhalisia wa maisha.
Ukichangia nyuzi za ujenzi na magari humu JF epuka hizi kauli, “mtanzania wa kawaida”, “mtanzania halisi”, vipato vya walio wengi” nk. Wewe pambana na Hali yako. Mtanzania wa kawaida hajulikani.
Siku zote; maisha yako ni ndoto ya wengi.