Kwa huu upotevu wa pesa za umma tunaousikia huko bungeni, sioni umuhimu wa TAKUKURU ni Bora hii taasisi ifutwe!!

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,099
2,881
Pesa za umma zinapigwa Kila siku!! Bungeni Huko Mwigulu anajitahidi kuonyesha hakuna matumizi mabaya lakini hali inaonyesha pesa zinatafunwa karibu kwenye sekta na miradi yote!! Kwa hali ilivyo sioni umuhimu wa hii taasisi ya TAKUKURU, naona wanakula mishahara TU!!

Hatusikii kashikashi yoyote, yaani Takukuru imepoa sana sana sana!! Iondolewe tutafute njia nyingine!! Warn ukinipiga nitakupiga!!
 
Bila upinzani bungeni wanufaika wa nchi wanakuwa wachache, ndio mana Mwigulu kawatukana wabunge, hawana impact yoyote.
 
Acheni kufuata miigizo hakuna senti inayopotea fedha zote zinaelekezwa katika miradi iliyoachwa ambayo mingi likuwa chini ya 15%,hivyo bidii kubwa zaidi imewekwa kumalizia miradi hii.
 
Acheni kufuata miigizo hakuna senti inayopotea fedha zote zinaelekezwa katika miradi iliyoachwa ambayo mingi likuwa chini ya 15%,hivyo bidii kubwa zaidi imewekwa kumalizia miradi hii.

Kaka hata ile Bilion tatu ya vikao na semina pia imeenda kwenye miradi?

I'm very sure Kwa kauli yako ingekuwa ndio uhalisia wangesema Tu,

Changamoto wanazokutana nazo bungeni I'm sure wangeshasema kuwa ela zimeenda kwenye mradi flan
 
Takukuru kesi zao wao kufatilia rushwa za kula buku buku tu
Ndiyo wanazitolea macho
Za mamilion to mabilion huwaoni

Ova
 
Mwigulu PHD... Fuatilia mwenendo wa benki zinazo kusanya kodi kwa niaba ya TRA. Kuna mchezo unafanyika kwenye ukadiriaji ... kupitia "Tax Clearance" pesa inayolipwa na wateja haifiki kunakohusika.

NB: Nadhani wanaokwepa kulipa kodi wana hoja tena nzito.🧐
 
Pesa za umma zinapigwa Kila siku!! Bungeni Huko Mwigulu anajitahidi kuonyesha hakuna matumizi mabaya lakini hali inaonyesha pesa zinatafunwa karibu kwenye sekta na miradi yote!! Kwa hali ilivyo sioni umuhimu wa hii taasisi ya TAKUKURU, naona wanakula mishahara TU!!

Hatusikii kashikashi yoyote, yaani Takukuru imepoa sana sana sana!! Iondolewe tutafute njia nyingine!! Warn ukinipiga nitakupiga!!
mifumo yote ni mali ya CCM ndugu, huyo Takukuru atafanya nini kama wapigani wako within?
 
Back
Top Bottom