Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,320
- 11,690
Bila kuungana na vyama vingine dhidi ya CCM madhubuti sana kwa sasa, watapata aibu kubwa sana kwa kushindwa kwa fedheha sana, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024, kakini pia watashindwa vibaya mno uchaguzi mkuu2025.
Kama hiyo haitoshi, ubinafsi, kutokuaminiana, uchu na uroho wa madaraka na vyeo, kutokuelewana wao kwa wao as opposition, kutokua na sera na mipango yenye sauti na uelekeo wa pamoja kama upinzani Tanzania, kutawafanya daima wawe dhaifu na kibogoyo zaidi, dhidi ya CCM imara inayoendelea kujizatiti mamlakani na inayoendelea kuimarika sana kila ichwao, chini ya mwenyekiti wake mahiri na madhubuti sana Comrade, Dr.Samia Suluhu Hassan.
Maandamano yamedoda sana na yamedorora mno aise
Kama hiyo haitoshi, ubinafsi, kutokuaminiana, uchu na uroho wa madaraka na vyeo, kutokuelewana wao kwa wao as opposition, kutokua na sera na mipango yenye sauti na uelekeo wa pamoja kama upinzani Tanzania, kutawafanya daima wawe dhaifu na kibogoyo zaidi, dhidi ya CCM imara inayoendelea kujizatiti mamlakani na inayoendelea kuimarika sana kila ichwao, chini ya mwenyekiti wake mahiri na madhubuti sana Comrade, Dr.Samia Suluhu Hassan.
Maandamano yamedoda sana na yamedorora mno aise