Mkuu kmbuka unaoa mwanamke co kaz yake, so n tabia ya Mtu Kwan wapo weng wameoa eidha mtu ambae hana kaz kabisa lkn wanajuta ktk ndoa zao, hivyo kaz si kitu mbali tabia au utu wa mtu ndo cha kuangalia
mh! hapo kwa walimu labda wa miaka ya nyuma. Lakini hawa wa leo wanaogongwa mpaka na na wanafunzi wao nina walakini kidogo. cku hizi walimu wa kike mpaka wanangonoka na maheadmaster ofcn,
mh! hapo kwa walimu labda wa miaka ya nyuma. Lakini hawa wa leo wanaogongwa mpaka na na wanafunzi wao nina walakini kidogo. cku hizi walimu wa kike mpaka wanangonoka na maheadmaster ofcn,
Mleta mada hiyo tafiti ni feki akajipange upya kwa haraka haraka imeegemea kwenye mtizamo wake binafsi na sababu alizotoa ni za wivu na woga wa kudhibitiwa kama analeta mambo siyo kwenye ndoa.