Kutokana na sera na misimamo yake, Donald Trump anaweza kuuawa wakati wowote

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,295
152,063
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu, waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Hivi hao wa Marekani wamekua na akili kama za wabongo walivo sikia slogan yake ya "America first" wenyewe walikua wana elewa nini mpaka wamchague.
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Trump ni Magufuli mtupu kabisa.
 
Back
Top Bottom