ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
Huku hapatoshi. Mambo yamekuwa mambo. Watu wanamiminika vibaya mno. Hakuna wasanii. Hakuna kusombwa na malori.
Makamanda mlioko huku tusaidiane kutoa updates.
Mapicha na updates zingine kufuata.
Mkutano huu Unarushwa live na ITV, AZAM TV, vilevile unaweza kusikiliza kupitia Radio One
Makamanda mlioko huku tusaidiane kutoa updates.
Mapicha na updates zingine kufuata.
Mkutano huu Unarushwa live na ITV, AZAM TV, vilevile unaweza kusikiliza kupitia Radio One
Last edited by a moderator: