Kampuni zote zile zilikuwa za magumashiclearing and forwading company nyingi zimekufa ,
kuna demu alikuwa anafanya kazi kampuni fulani ya clearing and forwading aliniringia sana juzi kanipigia simu kaniomba elfu kumi kwa unyenyekevu wakati alikuwa hapokei simu zanguKampuni zote zile zilikuwa za magumashi
kuna demu alikuwa anafanya kazi kampuni fulani ya clearing and forwading aliniringia sana juzi kanipigia simu kaniomba elfu kumi kwa unyenyekevu wakati alikuwa hapokei simu zangu
Acha wapishe watoto wetu wapate ajira. Heri sasa wengi wakajiunge na kilimo njaa itakoma Tz.Sasa ikifika december bali itakuwaje, ngoja nikalime tu maana hakuna namna
Biashara zote zikifa kodi itatoka wapiWafunge wakajipange upya wakijua kodi ni lazima ndo kuwepo uendelevu wa hizo biashara
Hahahaha viva Magufulikuna demu alikuwa anafanya kazi kampuni fulani ya clearing and forwading aliniringia sana juzi kanipigia simu kaniomba elfu kumi kwa unyenyekevu wakati alikuwa hapokei simu zangu
Mpaka tutakapo mpata JK MwingineHii inawezekana ni kweli, japo inawezekana pia imetiwa chumvi kwa sababu za kisiasa, lakini kutokana na utumbuaji wa majipu na kubana matumizi, biashara nyingi sana zimedorora...kuna watu wanasema hali itaboreka huko mbeleni,ila sijui itachukua muda gani.....
Pole mkuuMimi mmoja wao....!
Nafikiri yatakuwa yameongezeka kutokana na ukusanyaji wa madeni, na sio kutokana na uingizwaji wa bidhaa na uboreshwaji wa biashara.Bora kuwa na makampuni machache yanayolipa kodi kuliko mengi lakini kodi hewa...
Ni mpito tu mambo yataeleweka siku za usoni...
Hakuna namna
Mfano kusema makontena yamepungua bandari...wakati mapato ya serikali yanaongezeka ni obvious kuwa wale waliojipunguza ni wakwepa kodi...waende kwa usalama...kama vipi wakajipange upya waje kimtazamo wa kulipa kodi
Hahahaaaaa kanyookakuna demu alikuwa anafanya kazi kampuni fulani ya clearing and forwading aliniringia sana juzi kanipigia simu kaniomba elfu kumi kwa unyenyekevu wakati alikuwa hapokei simu zangu
Bora kuwa na makampuni machache yanayolipa kodi kuliko mengi lakini kodi hewa...
Ni mpito tu mambo yataeleweka siku za usoni...
Hakuna namna
Mfano kusema makontena yamepungua bandari...wakati mapato ya serikali yanaongezeka ni obvious kuwa wale waliojipunguza ni wakwepa kodi...waende kwa usalama...kama vipi wakajipange upya waje kimtazamo wa kulipa kodi
da sasa ikawaje ulimpa au..maana huo ndo muda wa kupiga ..mzigo mankuna demu alikuwa anafanya kazi kampuni fulani ya clearing and forwading aliniringia sana juzi kanipigia simu kaniomba elfu kumi kwa unyenyekevu wakati alikuwa hapokei simu zangu
Kama kilimo ni ajira why usiwapeleke hao wanao mpaka usubiri watu wafukuzwe?Acha wapishe watoto wetu wapate ajira. Heri sasa wengi wakajiunge na kilimo njaa itakoma Tz.
Nimekupa Like ya nguvu hahahh. Tuendelee kuwa na wezi wazembe tangu miaka YA 60 tuache vijana kama sio watoto wetu wafanye kilimo na shule wamesoma come on now!Kama kilimo ni ajira why usiwapeleke hao wanao mpaka usubiri watu wafukuzwe?