Ushasikia mwanamke anatembea na mume wa mtu masikini!?? wote wanafata pesa, mume wa mtu kupendwa ni hela hamna mapenzi..
Kesho aje mwingine awasasambue mario wanaotembea na wake za watu
Hahaaaaa kwanza tuliza hasira vumilia tu tafuta kadogodogo kako utulize nafsiWewe mwanamke unaye tembea na mume wa ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe ujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
"tulimbuwa" Khaa!!duh,,,, una hasira.....pambana mwanamke......wanawake tulimbuwa wanaume.....
Itakuwa kweli ujue. Sidhani kama hajamwaga chozi.ha ha wamekuibia ? pole mkuu
2.3+5.6=7.9 na 7.8 imekujaje mkuu .....lakini hzo takwimu ni makadilio....si halisi...................*New world population statistics*
Population 7.8 billion people on planet earth.
Women *5.6 billion*
Men *2.3 billion*
So baby gal shikilia...ikibidi Muone Miss chagga..akufunde kidogo
Hivi kweli sisi wanaume tukiamua kuwa wachoyo itakuaje?? Si unaona kuwa wanawake wote watakosa wanaume?? Wahurumie wenzio, dont take it too seriousWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako
yaani hilo nalo neno... sasa hata ukiomba awe fukara bado unafeli maana kuna mpk wa kuhongwa mia tano..kasheshe kweli
atakuwa analia sa hivi ila atulie ajitafakari kabla ya kuanza kunyoosha kidole kwa mwenzie na kukaa kimya kutaepusha mambo mengi hasa kugombana .. halafu baada ya kutulia amueleze mumewe kwamba anamuumiza anavyofanya ikishindikana dawa ni kukaa kimya afanye majukumu yake ipasavyo kama anamtoto alee mwanae basi..........Itakuwa kweli ujue. Sidhani kama hajamwaga chozi.