- Thread starter
- #41
Ukipangisha nyumba siyo lazima ujue mpangaji ana vitanda vingapi na nani analala chumba gani. Hivi ukiwa na guest house lazima ujue nani kalala nani?S
Sasa kama mmiliki hujuim kinachoendelea ndani ya kitu chako then Sijui tukuiteje! Yaani unaown kitu halafu uhalifu unafanyika kwenye Kitu chako then wewe huhusiki kabisa. So hakuna siasa hapo na kama alivyosema Maknda wengine wanakamatwa kuisaidia polisi kama huhusiki povu la nini?!?!?!?