Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,210
- 6,631
Binafsi sijakuelewa. Umemaanisha nn hapo?Nyumbu mmoja anaanzisha mada kuhusu Dialo kudaiwa na Nyumbu mwingine anaanzisha mada nyingine kwa kudandia mada ya nyumbu wa kwanza.
Binafsi sijakuelewa. Umemaanisha nn hapo?Nyumbu mmoja anaanzisha mada kuhusu Dialo kudaiwa na Nyumbu mwingine anaanzisha mada nyingine kwa kudandia mada ya nyumbu wa kwanza.
Na ndio maana habari ipo kwenye jukwaa la siasa, hivi nikuulize kama wewe akili zako aziwazi siasa umefunguaje Jamii Forum na hasa kwenye hili Jukwaa la Siasa? nafikiri AKILI ZAKO UNAZIJUA MWENYEWE!!Kuna watu akili zenu huwa zinawaza siasa tu.
Akirudi tena huyu nitashangaa sana .Na ndio maana habari ipo kwenye jukwaa la siasa, hivi nikuulize kama wewe akili zako aziwazi siasa umefunguaje Jamii Forum na hasa kwenye hili Jukwaa la Siasa? nafikiri AKILI ZAKO UNAZIJUA MWENYEWE!!
daaaaa, ndugu umegusa panapo. umeniamshia maumivu jamani. Mimi binafsi nilikuwa team CCM, Team Magufuri mwanzo mwisho. Nilikosana hadi na rafiki zangu na hata baadhi ya ndugu na jirani sababu ya kupigia debe CCM. baada ya uchaguzi kilichonikuta... ni siri yangu, japo sababu ndo nadhani ni laana za kushadadia CCM kipindi cha kampeni. Naona aibu hata kukutana ba baadhi ya watu. Anyway acheni tu
Miongoni mwa hao uliowataja wako waliochoka pia .mwaka 2020 ccm itabebwa na wakurugenzi na mapolis. nje ya hapo shida.
Umeongea ukweli, pale lumumba kuna Nyumbu hawajielewiNyumbu mmoja anaanzisha mada kuhusu Dialo kudaiwa na Nyumbu mwingine anaanzisha mada nyingine kwa kudandia mada ya nyumbu wa kwanza.
True ! Hali ya lizaboni kwa mujibu wa mashuhuda ni ya kusikitisha sana , itakuwa laana .Hata kuishabikia tu sisiem kwa sasa ni laana kubwa mno yaani lazima uje kupata mateso makali sana hata kama sio hapa duniani huko unakoenda baada ya kifo utajuta
Kuna shida kwani?Kuna watu akili zenu huwa zinawaza siasa tu.
Au wapiga dili siyo ?Ndo wale wale mlotegemea mteremko.
Le mbululaz tumekusikiaHakuna laana.
Ni mazoea yao ya awamu zilizopota za kuwajaza pesa za wananchi ovyo ovyo, awamu hii ya JPM halikuwepo hilo. Na 2020 kama kawaida wengi watapigia debe chama chao cha CCM.
Hapa kazi tu.