Blessingme
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 250
- 52
my self cna chuki na zitto bt kuwa rais hapana coz hana mshikamano na wenzake nasikiri endapo ataingia madarakani itakuwa na serikali isiyokuwa na cooparation na pili anaamini mawazo yake always ni sahihi bt kuwa waziri mkuu anafaa